• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Aridhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Fedha na Baishara
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano.
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Sheria
      • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977
      • Katiba inayopendekezwa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba

Historia

Wilaya ya Gairo ilianzishwa kwa Tangazo la Serikali Na 75 la tarehe 02/03/2012 kufuatia kugawanywa kwa Wilaya ya Kilosa, na baadaye utekelezaji wa shughuli za Halmashauri ulianza rasmi Julai 2013. Gairo inapatikana kaskazini Magharibi mwa Mkoa wa Morogoro na inapitiwa na barabara kuu ya Morogoro-Dodoma.

Eneo la Wilaya ni Kilometa za mraba 1,851.34. inapakana na Wilaya ya Kongwa na Mpwapwa kwa upande wa Magharib, kilosa ipo Kusini na kwa upwande wa Mashariki zipo Kilosa na Mvomero. Aidha upande wa Kaskazini inapakana na sehemu ya Wilaya za Kongwa na Kiteto.

Gairo inakadiriwa kuwa na wakazi wapatao 193,011 (Me 93,206 na Ke 99,805, hii ni kwamujibu wa Sensa ya watu na Makazi ya mwaka 2012. Wastani wa watu kwa kaya ni 5.2 sawa naongezeko la asilimia 2.6 kwa mwaka.

Wilaya inaundwa na Tarafa mbili , Kata 18, vijiji 50 na vitongoji 304 (23 kati ya hivyo viko chini ya Mamlaka ya Mji Mdogo wa Gairo) . Lipo jimbo moja la uchaguzi la Gairo.  Jumla ya madiwani 24  wakiwemo 18 wa kuchaaguliwa na 6 ni viti maalumu.

Kauli mbiu yetu ni "Wilaya ya Gairo, Maendeleo Fasta kwa Mwendo Mdundo"

Matangazo ya Kawaida

  • Usafi wa Mazingira kila Jumamosi ya mwisho wa Mwezi December 29, 2018
  • Uhuishaji wa Leseni za Biashara January 01, 2019
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA GAIRO SASA ZAPATIKANA KATIKA MAJENGO YAKE MAPYA YALIYOPO KATIKA KATA YA GAIRO.

    November 02, 2018
  • UTAFITI WA HALI YA LISHE NCHINI KWA MWAKA 2018

    October 17, 2018
  • Ziara ya Naibu Waziri OR-TAMISEMI kukagua Miradi ya Elimu Gairo

    October 03, 2018
  • MWENGE WA UHURU GAIRO

    July 23, 2018
  • Tazama zote

Video

Marufuku kumaliza kesi za mimba nyuma ya pazia
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Kisimani, Kata ya Magoweko.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255

    Simu ya Kiganjani: 0754837650

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa