• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Aridhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Fedha na Baishara
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano.
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Sheria
      • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977
      • Katiba inayopendekezwa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba

Tehama

Majukumu ya Jumla

  • Kusimamia mifumo yote ya kompyuta na njia zote za mawasiliano katika Halmashauri.
  • Kusimamia na kuhakikisha kuwa vyombo vyote vinavyohusiana na teknolojia ya Habari na mawasiliano vinafanya kazi katika hali nzuri.
  • Kufanya utafiti kwenye mifumo mbalimbali ya kompyuta ndani na nje ya halmashauri kisha kutoa ushauri na mapendekezo kwa viongozi juu ya marekebisho yeyote yatakayoonekana kufaa.
  • Kufanya upembuzi yakinifu juu ya taratibu za utendaji kazi za kila siku za Halmashauri, kisha kubaini matatizo yaliyopo na kubuni mifumo mbalimbali ya kompyuta itakayowezesha kutatua matatizo hayo au kuboresha mifumo inayohitaji marekebisho
  • Kuhakikisha kuwa kunakuwepo na usalama wa taarifa zote za Halmashauri zinazohifadhiwa au kusafirishwa kwa kupitia vyombo vya kuhifadhia au mifumo ya mawasiliano ya taarifa hizo.
  • Kuiongoza Halmashauri kwenye Mipango yote ya baadae itakayohusiana na Teknolojia ya habari na Mawasiliano.
  • Kuhakikisha kuwa kunakuwepo msaada wa kutosha kwa watumiaji wa kompyuta kuhusiana na mifumo ya msaada wa taarifa na kumbukumbu.
  • Kuweka taratibu, sheria na kanuni za utunzaji kumbukumbu zinazohitajika kwa kuendelezea miundo mbinu na teknolojia ya habari unaofaa na wenye ufanisi.
  • Kutayarisha na kutunza miongozo na sera za tekinolojia ya habari na mawasiliano

Matangazo ya Kawaida

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALICHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA WILAYA YA GAIRO MWAKA 2021 December 18, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI GAIRO 2021 December 17, 2020
  • Uhuishaji wa Leseni za Biashara June 30, 2021
  • Usafi wa Mazingira kila Jumamosi ya mwisho wa Mwezi January 31, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIKAO KILICHOITISHWA NA MKUU WA WILAYA YA GAIRO BI. SIRIEL MCHEMBE KILICHOFANYIKA TAREHE 13/11/2020 KATIKA UKUMBI WA HALAMASHAURI YA WILAYA KWA LENGO LA KUTOA MWELEKEO WA WILAYA BAADA YA UCHAGUZI MKUU

    November 16, 2020
  • KIKAO CHA KAMATI YA LISHE KILICHO KUTANISHA KAMATI YA LISHE YA NGAZI YA WILAYA , MKOA NA KAMATI YA LISHE KUTOKA OR TAMISEMI

    July 02, 2020
  • WILAYA YA GAIRO NA UTAJIRI WA MADINI YA DHAHABU

    June 11, 2019
  • HUDUMA ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA GAIRO SASA ZAPATIKANA KATIKA MAJENGO YAKE MAPYA YALIYOPO KATIKA KATA YA GAIRO.

    May 01, 2019
  • Tazama zote

Video

Marufuku kumaliza kesi za mimba nyuma ya pazia
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Kichangani, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255232935454

    Simu ya Kiganjani: 0754837650

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa