• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Aridhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Fedha na Baishara
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano.
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Sheria
      • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977
      • Katiba inayopendekezwa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba

Ardhi na Mali asili

Majukumu ya idara ya Ardhi na Mali Asili 

  • Kuratibu na kudhibiti uendelezaji wa Miji na Vijiji.

  • Kuratibu uandaaji wa Mipango ya Matumizi Bora ya Ardhi Vijijini na Mijini.

  • Kujenga uwezo wa kupanga na kutekeleza majukumu ya uendelezaji ardhi kwenye Halmashauri.

  • Kuelimisha jamii kuhusu Mipango ya Matumizi Bora ya Ardhi.

  • Kuratibu na kusimamia utekelezaji wa Mipango ya Ardhi.

  • Kubaini fursa na vikwazo vya uendelezaji.

  • Kufuatilia na kutathimini utekelezaji wa mipango ya Miji na Vijiji inayoandaliwa.

  • Kusimamia uendelezaji wa maeneo ya makazi.

  •  Kushughulikia maombi ya mabadiliko ya matumizi ya kiwanja, muunganiko/mgawanyo wa kiwanja.

  • Kukusanya taarifa za utafiti na mwenendo wa soko la Ardhi.

  • Kuhakiki kumbukumbu za utafiti na kuziingiza kwenye kompyuta

  • Kupokea maombi na kufanya uthamini chini ya usimamizi wa Mthamini aliyesajiliwa

  • kukagua, kupima na kuoanisha thamani ya majengo na ardhi kwa ajili ya kumbukumbu(Data Bank)

  • Kufanya uthamini wa malipo ya fidia, kodi za nyumba, rehani, bima, mizania (Balance sheet) na mauzo ya mali

  • Kuandaa maeneo ya kusimika alama za msingi za upimaji

  • Kutayarisha michoro ya utambuzi (Description diagrams)

  • Kupokea na kuhakiki picha za anga kutoka kwa mkandarasi.

  • Kufanya upimaji, mahesabu na kuandaa taarifa za kazi (Demarcation, coordination, computation and compilation).

  • Kuchora plani za upimaji (Survey plan)

  • Kuchora plani za Hati (Deed plan)

  • Kuingiza taarifa za upimaji kwenye kompyuta (alpha numeric data)

  • Kukagua kazi za upimaji na kuingiza taarifa za kazi zilizothibitishwa kwenye compyuta.

  • Kufanya upimaji picha (aerial triangulation and block adjustment)

  • Kuandaa vikosi kwa ajili ya kuhuisha ramani (map revision)

  • Kutunza kumbukumbu za picha za anga

  • Kusimamia na kuchukua vipimo vya tide gauge (Hydrographic survey)

  • Kufanya kazi za nje ya ofisi (field survey operations) chini ya usimamizi wa mpima aliyesajiliwa.

  • Kutoa huduma kwa wateja (customer services)

  • Kukagua masuala ya upimaji katika Halmashauri za Jiji, Manispaa, Miji na Wilaya (technical auditing)

  • Kupokea na kushughulikia maombi ya upimaji picha anga.

  • Kufanya maandalizi ya upimaji wa majini.

  • Kuchambua na kuchunguza taarifa mbalimbali (data analysis)

  • Kusimamia upimaji wa kumbukumbu (data bank)

  • Kuchambua na kuchunguza matokeo ya kazi za upimaji na kutayarisha taarifa ya kiufundi.

  • Kusimamia mfumo wa utayarishaji ramani kwa kompyuta.

  • Kushauri Halmashauri kuhusu masuala ya upimaji na utayarishaji ramani.

  • Kukagua kazi za upimaji na kuziwasilisha kwa Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani

  • Kufanya ubunifu wa ramani mpya

  • Kutoa ushauri kwa wateja kwa ajili ya ramani maalum (thematic map)

  • Kufanya operasheni za upimaji

  • Kufanya uchambuzi wa takwimu (data processing and analysis)

  • Kutayarisha alama za upimaji (survey plan beacons)\

  • Kupanga na kuandaa mahitaji ya kambi za upimaji, vifaa vya upimaji na mahitaji ya jumla.

  • Kuandaa na kuchambua vifaa kwa ajili ya utayarishaji ramani.

  • Kuchambua, kushona, kukata na kuunganisha nyaraka zilizochapwa. Doria kusimamia sheria, taatibu na miongozo ya Idara.

  • Kulinda maisha ya wananchi na mali zao dhidi ya wanyamapori waharibifu na wakali.

  • Kutoa elimu ya uhifadhi, usimamizi na matumizi endelevu ya wanyama pori.

  • Ukusanyaji maduhuli na kazi za utawala.

Matangazo ya Kawaida

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALICHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA WILAYA YA GAIRO MWAKA 2021 December 18, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI GAIRO 2021 December 17, 2020
  • Uhuishaji wa Leseni za Biashara June 30, 2021
  • Usafi wa Mazingira kila Jumamosi ya mwisho wa Mwezi January 31, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIKAO KILICHOITISHWA NA MKUU WA WILAYA YA GAIRO BI. SIRIEL MCHEMBE KILICHOFANYIKA TAREHE 13/11/2020 KATIKA UKUMBI WA HALAMASHAURI YA WILAYA KWA LENGO LA KUTOA MWELEKEO WA WILAYA BAADA YA UCHAGUZI MKUU

    November 16, 2020
  • KIKAO CHA KAMATI YA LISHE KILICHO KUTANISHA KAMATI YA LISHE YA NGAZI YA WILAYA , MKOA NA KAMATI YA LISHE KUTOKA OR TAMISEMI

    July 02, 2020
  • WILAYA YA GAIRO NA UTAJIRI WA MADINI YA DHAHABU

    June 11, 2019
  • HUDUMA ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA GAIRO SASA ZAPATIKANA KATIKA MAJENGO YAKE MAPYA YALIYOPO KATIKA KATA YA GAIRO.

    May 01, 2019
  • Tazama zote

Video

Marufuku kumaliza kesi za mimba nyuma ya pazia
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Kichangani, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255232935454

    Simu ya Kiganjani: 0754837650

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa