• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

Ardhi na Mali asili

Majukumu ya idara ya Ardhi na Mali Asili 

  • Kuratibu na kudhibiti uendelezaji wa Miji na Vijiji.

  • Kuratibu uandaaji wa Mipango ya Matumizi Bora ya Ardhi Vijijini na Mijini.

  • Kujenga uwezo wa kupanga na kutekeleza majukumu ya uendelezaji ardhi kwenye Halmashauri.

  • Kuelimisha jamii kuhusu Mipango ya Matumizi Bora ya Ardhi.

  • Kuratibu na kusimamia utekelezaji wa Mipango ya Ardhi.

  • Kubaini fursa na vikwazo vya uendelezaji.

  • Kufuatilia na kutathimini utekelezaji wa mipango ya Miji na Vijiji inayoandaliwa.

  • Kusimamia uendelezaji wa maeneo ya makazi.

  •  Kushughulikia maombi ya mabadiliko ya matumizi ya kiwanja, muunganiko/mgawanyo wa kiwanja.

  • Kukusanya taarifa za utafiti na mwenendo wa soko la Ardhi.

  • Kuhakiki kumbukumbu za utafiti na kuziingiza kwenye kompyuta

  • Kupokea maombi na kufanya uthamini chini ya usimamizi wa Mthamini aliyesajiliwa

  • kukagua, kupima na kuoanisha thamani ya majengo na ardhi kwa ajili ya kumbukumbu(Data Bank)

  • Kufanya uthamini wa malipo ya fidia, kodi za nyumba, rehani, bima, mizania (Balance sheet) na mauzo ya mali

  • Kuandaa maeneo ya kusimika alama za msingi za upimaji

  • Kutayarisha michoro ya utambuzi (Description diagrams)

  • Kupokea na kuhakiki picha za anga kutoka kwa mkandarasi.

  • Kufanya upimaji, mahesabu na kuandaa taarifa za kazi (Demarcation, coordination, computation and compilation).

  • Kuchora plani za upimaji (Survey plan)

  • Kuchora plani za Hati (Deed plan)

  • Kuingiza taarifa za upimaji kwenye kompyuta (alpha numeric data)

  • Kukagua kazi za upimaji na kuingiza taarifa za kazi zilizothibitishwa kwenye compyuta.

  • Kufanya upimaji picha (aerial triangulation and block adjustment)

  • Kuandaa vikosi kwa ajili ya kuhuisha ramani (map revision)

  • Kutunza kumbukumbu za picha za anga

  • Kusimamia na kuchukua vipimo vya tide gauge (Hydrographic survey)

  • Kufanya kazi za nje ya ofisi (field survey operations) chini ya usimamizi wa mpima aliyesajiliwa.

  • Kutoa huduma kwa wateja (customer services)

  • Kukagua masuala ya upimaji katika Halmashauri za Jiji, Manispaa, Miji na Wilaya (technical auditing)

  • Kupokea na kushughulikia maombi ya upimaji picha anga.

  • Kufanya maandalizi ya upimaji wa majini.

  • Kuchambua na kuchunguza taarifa mbalimbali (data analysis)

  • Kusimamia upimaji wa kumbukumbu (data bank)

  • Kuchambua na kuchunguza matokeo ya kazi za upimaji na kutayarisha taarifa ya kiufundi.

  • Kusimamia mfumo wa utayarishaji ramani kwa kompyuta.

  • Kushauri Halmashauri kuhusu masuala ya upimaji na utayarishaji ramani.

  • Kukagua kazi za upimaji na kuziwasilisha kwa Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani

  • Kufanya ubunifu wa ramani mpya

  • Kutoa ushauri kwa wateja kwa ajili ya ramani maalum (thematic map)

  • Kufanya operasheni za upimaji

  • Kufanya uchambuzi wa takwimu (data processing and analysis)

  • Kutayarisha alama za upimaji (survey plan beacons)\

  • Kupanga na kuandaa mahitaji ya kambi za upimaji, vifaa vya upimaji na mahitaji ya jumla.

  • Kuandaa na kuchambua vifaa kwa ajili ya utayarishaji ramani.

  • Kuchambua, kushona, kukata na kuunganisha nyaraka zilizochapwa. Doria kusimamia sheria, taatibu na miongozo ya Idara.

  • Kulinda maisha ya wananchi na mali zao dhidi ya wanyamapori waharibifu na wakali.

  • Kutoa elimu ya uhifadhi, usimamizi na matumizi endelevu ya wanyama pori.

  • Ukusanyaji maduhuli na kazi za utawala.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA MAANDALIZI MAZURI

    February 23, 2025
  • VYAMA VYA SISA VYAHIMIZWA KUHAMASISHA WANACHAMA WAO KUJITOKEZA KUSHIRIKI KATIKA AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI, UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 21, 2025
  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa