• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWANI LA KIPINDI CHA ROBO YA KWANZA JULAI - SEPTEMBA 2017/2018 KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA HALMASHAURI,

Posted on: December 4th, 2017

Pamoja na baraza  nakujadili mambo mbalimbali yahusuyo wilaya pia kulikuwa na matukio makubwa yaliyofanyika kama yafuatayo:

(i)UGAWAJI WA HUNDI KWA AJILI YA MIKOPO KWA VIKUNDI MBALIMBALI VYA WANAWAKE NA VIJANA.

Mhe. Mwenyekiti alimkaribisha Mhe. Mbunge Ahamed Shabiby kukabidhi hudhi kwa vikundi mbalimbali vilivyoomba mikopo kama ifuatavyo;


Na JINA LA KIKUNDI MAHALI SHUGHURI ZA KIKUNDI KIASI KILICHO KOPESHWA
1 Chapakazi Kibedya Ufugaji wa Mbuzi 1,500,000.00
2 Songambele
Rubeho Ufugaji wa Nguruwe
1,000,000.00
3 Agape Chigela Uzalishaji wa viazi lishe 1,000,000.00
4 Maisha kujitegemea  Ng'olongo-Idibo Ufugaji wa Mbuzi
1,000,000.00
5 Mnangalini Magoweko Saluni 2,000,000.00
6 Kazi kwanza Kibedya Ufugaji wa mbuzi
1,000,000.00
7 Neima IR VIKOBA

3,000,000.00
8 Tumaini

1,000,000.00
9 Chikikole B Italagwe Ufugaji wa mbuzi
1,5000,000.00

JUMLA
JUMLA
13,500,000.00/=


Mhe Mbunge aliwasihi wanavikundi wote waliokopeshwa kuzitumia vizuri fedha hizo ili ziwasaidie kujikwamua kiuchumi na vilevile waweze kuzirejesha.
Marejesho ya mkopo kwa kikundi kilichokuwa kimekopeshwa na Halmashauri.
Kikundi cha Nyota ya matumaini kilichopo kijiji cha Chakwale kilifanikiwa kurejesha fedha kiasi cha Tshs 1,100,000 kutoka kiasi cha Tshs 1,000,000.00 ambazo walikopeshwa na Halmashauri. Aidha wanakikundi waliishukuru Halmashauri kwa namna inavyosaidia wananchi wake kujikomboa kiuchumi kwa kuwapa mikopo.


(ii) Motisha kwa Walimu saba wa Shule ya Sekondari Gairo waliofaulisha vizuri masomo yao katika mtihani wa kidato cha sita 2017 walizawadiwa kama ifuatavyo:


Na JINA SOMO AU CHEO ZAWADI
1 Mwl. Jones Nyato Mkuu wa Shule Cheti
2         Ally Sheria Historia 100,000 .00 na cheti
3         Boniface Mluba Biolojia 100,000.00 na cheti
4         Hamisi Maneno   Kingereza Cheti
5         Damaris Kapere Kingereza Cheti
6         Nassoro M. Wanogile Historia Cheti
7         Rajab mgonja   Jiografia Cheti


Mhe Mbunge Ahamed Shabiby aliwasihi walimu hao kushirikiana na walimu wengine ili kuongeza bidii Zaidi katika kuinua ufaulu kwa wanafunzi aidha aliahidi kutoa zawadi ya TShs 100,000 kwa kila mwalimu aliyefaulisha vizuri somo lake katika Mtihani wa kidato cha sita 2017.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA MAANDALIZI MAZURI

    February 23, 2025
  • VYAMA VYA SISA VYAHIMIZWA KUHAMASISHA WANACHAMA WAO KUJITOKEZA KUSHIRIKI KATIKA AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI, UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 21, 2025
  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa