• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

Mkutano wa Baraza la Madiwani uliohudhuriwa na Mkuu wa Mkoa Mh. Kebwe Steven Kebwe 28/06/2018 katika ukumbi wa Halmashauri ya Gairo.

Posted on: July 1st, 2018

Mkutano huo ulikuwa maalumu kwa ajili ya Kujibu hoja za ukaguzi, Katibu alimkaribisha Mwenyekiti kufungua Mkutano, akifungua mkutano huo Mwenyekiti aliwakaribisha wajumbe pamoja na kumweleza Mkuu wa mkoa kuwa hoja zilizopo sio nyingi kwa kuwa tumejitahidi sana kupunguza hoja kwa kufanya kazi kwa weledi hivyo hoja zilizopo ni chache na nyingine nyingi tumeshazijibu na ziko tayari kwaajili ya kwenda kukaguliwa.

Mwenyekiti alimwomba Mkuu wa mkoa kuwahimiza Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuwalipa madeni yao ili kufanikisha maagizo mengine kutoka LACC ambayo yanawafanya wao kama halmashauri kutokuwa na majibu kwa kuwa madeni hayo hayajalipwa .

Pia mwenyekiti alimweleza Mkuu wa Mkoa na wajumbe wengine kuwa Changamoto ya Uhaba wa Mapato katika halmashauri ya Gairo pia ni chanzo mojawapo cha kushindwa kujibu hoja hivyo tunajitajidi kubuni vyanzo mbalimbali ili kuongeza Mapato na uhaba wa Wakaguzi wa ndani pia ulisababisha Halmashauri kutokufanya vizuri.

Naye Mkuu wa Morogoro Mh.kebwe Steven Kebwe amepongeza Halmashauri kwa Kufanya Mkutano huo wakati wa karibia nakufunga mwaka wa Srikali kwa Kuwa tutakapoanza tutakuwa wapya, huku akihimiza kutekelezwa kwa auli mbiu za mheshimiwa Rais za kupambana na mafisadi, kuombea amani ya nchi, rushwa, uwajibikaji katika utendaji kazi yaani nidhamu kwa watumishi wa umma na kutekeleza kauli mbiu ya “hapa kazi tu”.

Pia  mkuu wa Mkoa aliupongeza Mkoa wa Morogoro kwa kutokupata hati ya mashaka na kusisitiza kuwa sasa tusilewe na hizo sifa kwa kufanya kazi kwa weledi na na kwa heshima hiyo  Mkoa umepewakipaumbele cha ufundishaji wa masuala ya mifumo ya udhibiti wa masuala mazima ya kifedha ili tuweze kuboresha zaidi na mikoa mingine watakuja kujifunza kwetu.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA MAANDALIZI MAZURI

    February 23, 2025
  • VYAMA VYA SISA VYAHIMIZWA KUHAMASISHA WANACHAMA WAO KUJITOKEZA KUSHIRIKI KATIKA AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI, UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 21, 2025
  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa