• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

ZIARA YA WAZIRI JAFO GAIRO

Posted on: October 5th, 2017

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tamisemi Mhe. Selemani Jafo ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Gairo kwa kutekeleza maagizo ya serikali kwa maendeleo mazuri ya ujenzi wa majengo ya Ofisi ya halmashauri.

 Mhe.Jafo Ametoa pongezi hizo wakati alipokuwa akiweka jiwe la msingi la jengo hilo la kisasa ambapo ujenzi wake unakaribia asilimia 75.

Akizungumza katika uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la Halmashauri ya Gairo,                        

Mhe.Jafo alisema halmashauri hiyo imekuwa ya mfano kwa kutekeleza maagizo ya Serikali.

Pia aliwapongeza halmashauri kwakuamua kujichimbia kwenye ujenzi  kwa kutumia mkandarasi Pacha Construction Company ambaye amefanya kazi kubwa na nzuri ndani ya muda mfupi.

Hata hivyo, Naibu Waziri Jafo amewaagiza makatibu Tawala wa mikoa yote ambayo halmashauri zao zilipatiwa fedha lakini bado hawajaanza ujenzi mpaka sasa wawasilishe majina ya halmashauri hizo kabla ya Oktoba 10, mwaka huu ili mchakato wa kuzihamisha fedha hizo ufanyike mara moja kwa kuzipeleka fedha hizo katika halmashauri zinazo endelea na ujenzi kwasasa.

Katika hatua nyingine, Jafo amekagua ujenzi wa barabara za Gairo mjini huku akimhimiza meneja wa wakala wa barabara vijijini(Tarura) kuhakikisha anasimamia ujenzi huo ili ifikapo mwaka 2019 ahadi zote alizozitoa Rais Dk.John Magufuli katika barabara za halmashauri hiyo ziwe zimekamilika. 


     

 Barabara hiyo yenye urefu wa kilomita 3.5 inajengwa na mkandarasi C.G.I contractors LTD.
Akikagua barabara hiyo amewahakikishia wananchi kuwa serikali itafanya jitihada katika kuhakikisha barabara zinajengwa na kwa kiwango kinachotakiwa na kutoa fedha kwa wakati ili mkandarasi aliyepo aweze kumaliza kazi kama ilivyopangwa.                                                                               Awali akitoa taarifa ya ujenzi wa barabara hiyo mkandarasi Stephen Aloyce amesema ujenzi wa barabara hiyo umekamilika kwa asilimia 70 na kuiomba serikali kukamilisha malipo ya shilingi Bilioni 1.5 ili kumalizia kazi iliyobaki kabla ya kipindi cha mvua kuanza.

Naye, Mbunge wa jimbo la Gairo Ahmed Shabiby ameishukuru serikali kwa jitihada zake za kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wananchi huku akiiomba serikali kuwasaidia kutatua kero ya maji ambayo bado inawaumiza wananchi wa Halmashauri ya Gairo.



Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA MAANDALIZI MAZURI

    February 23, 2025
  • VYAMA VYA SISA VYAHIMIZWA KUHAMASISHA WANACHAMA WAO KUJITOKEZA KUSHIRIKI KATIKA AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI, UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 21, 2025
  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa