• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

Ziara ya Naibu Waziri OR-TAMISEMI kukagua Miradi ya Elimu Gairo

Posted on: October 3rd, 2018

Naibu Waziri OR-TAMISEMI Mh. JOSEPH KAKUNDA(MB) akizungumza na Watumshi wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo alipofanya ziara ya kutembelea Miradi ya Elimu mnamo tarehe 2/10/2018.

 Waziri Kakunda alisisitiza kuwa ni jukumu la kila Mtumishi wa Halmashauri kufanya kazi kwa bidii na  kuhakikisha utekelezaji wa Miradi mbalimbali iliyoanzishwa na itakayoanzishwa inasimamiwa ili iweze kukamilika kwa wakati hasa Mradi wa maji ufuatiliwe kwa ukaribu ili uweze kupunguza kero ya maji Gairo.

Alisisitiza kwakuwa miradi ya elimu aliyoitembelea ikamilike mapema na alitoa ushauri kuwa Halmashauri ibuni vyanzo tofauti tofauti vya Mapato ili kuboresha makusanyo yake ya ndani na kuweza kusaidia Miradi ya Maendeleo na pia aliongeza kwa kusema Miradi ya kimkakati iwekewe umakini ili kuongeza mapato na Halmashauri ihakikishe inafuatilia wananchi waweze kulipa kodi.

Mh.Kakunda aliongeza kusema Mh.Rais John Pombe Magufuli anaipenda nchi hii na anania ya kuisaidia Tanzania na ndio maana anahakikisha Miradi ya Msingi ambayo haikukamilika inakamilishwa, pia anahakikisha afya za watanzania zinakuwa njema kwa kujenga vituo vya afya ikiwemo na kutoa pesa za ukarabati wa Kituo cha Afya Gairo. Aliongeza kwa kusema  sekta ambayo Mh.Rais kaipendelea ni elimu ili kwa kuwa anapenda waondokane na adui Ujinga.

Mwisho Naibu Waziri Kakunda alisisitiza suala la mahusiano katika kazi alisema " mahusiano yapo katika Dhima sio Dira" hivyo ni lazima na huwa hayaombwi, hivyo ni lazima kuwe na mgawanyo wa kazi na watumishi waheshimiane katika ngazi za Utumishi.



Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA MAANDALIZI MAZURI

    February 23, 2025
  • VYAMA VYA SISA VYAHIMIZWA KUHAMASISHA WANACHAMA WAO KUJITOKEZA KUSHIRIKI KATIKA AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI, UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 21, 2025
  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa