• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

Vivutio vya Utalii

Tunafurahi kuwahudumia watalii wetu wa ndani na nje ya nchi wanaotembelea vivutio vya utalii tulivyo navyo. Gairo ni miongoni mwa maeneo machache duniani yenye vivutio vingi vya utalii ikiwemo; Safu za milima ya Rubeho na Ukaguri ambayo ni sehemu ya milima inaounda Safu za Milima ya Tao la Mashariki (Earstern Arc Mountain), Magofu ya kale, Alama ya Unyao wa mwanadamu wa kale katika kijiji cha Nguyami, Vyura hadimu duniani waitwao vyura Filimbi, Ndege hadimu duniani aina ya Rubeho warbler na Moreaus sunbirds ambao wanapatikana Gairo pekee (Endemic species), Maporomoko ya maji ya Ukaguru pamoja na mimea mbalimbali katika hifadhi za misitu asilia ya Mamiwa Kaskazini, Ikwamba, Italagwe naHifadhi ya Msitu wa Mipingo (Leshata Vipigo Forest).

Utalii unaofanyika katika eneo letu ni pamoja na utalii wa kupanda milima, utalii wa picha, utalii wa ndege na wanyama wadogowado kama vile Vyura filimbi, Kwale na Kanga wa Rubeho, Kima, Tumbili na Nyani, utalii wa utafiti, utalii wa utamaduni (ngoma, vyakula vya asili, michezo, matambiko, ibada na maziko/mazishi). Ili kupata taarifa za fursa na vivutio vilivyopo bonyeza maneno yaliyoandikwa Utalii wetu Gairo hapo chini.

UTALII WETU GAIRO.pdf


Baadhi ya Picha za Utalii:

Picha ikionesha watalii katika kituo cha ibada kwenye kilele cha Mlima Gairo


Picha ikionesha watalii wakifurahia kivutio cha maporomoko ya maji ya Ukaguru


Picha Ikionyesha ndege hadimu aitwae Mrs Moreaus sunbirds


Picha Ikionyesha ndege hadimu aitwae Rubeho Warbler

Picha ikionyesha chura adimu duniani aitwa Chura filimbi


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA MAANDALIZI MAZURI

    February 23, 2025
  • VYAMA VYA SISA VYAHIMIZWA KUHAMASISHA WANACHAMA WAO KUJITOKEZA KUSHIRIKI KATIKA AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI, UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 21, 2025
  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa