Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo, anawatangazia wafanyabiashara wote ambao muda wa leseni zao za Biashara umeisha kuwa wanatakiwa kuuhisha leseni zao za biashara .Ili waweze kufanya biashara zao bila usumbufu kwani maafisa biashara watapia duka kwa duka kwa ajili ya ukaguzi maalumu wa leseni zote za baishara. Hivyo unashauriwa kufika ofisi za Mkurugenzi Mtendaji kwa ajili ya maelekezo mengine au unaweza kutembelea Tovuti yetu ya Halmashauri www.gairodc.go.tz kwa maelezo zaidi na utembelee eneo la Nifanyeje.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.
Sanduku la Posta: 40, GAIRO
Simu ya Mezani: +255 715240010
Simu ya Kiganjani: +255 715240010
Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz
Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa