Shughuli za usindikaji wa mazao ya chakula na biashara zinafanywa na wafanya biashara ndogo ndogo katika vikundi na kupitia mtu mmoja mmoja hasa katika uwekezaji wa Mashine za kukoboa na kusaga nafaka, mashine za kukamua Alizeti kwa ajili ya kusindika Mafuta ya Alizeti ambayo soko lake ni kubwa ndani ya Wilaya na Nchi nzima ya Tanzania
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.
Sanduku la Posta: 40, GAIRO
Simu ya Mezani: +255232935454
Simu ya Kiganjani: +255 767498981
Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz
Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa