• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

Kupata Leseni ya Biashara?

Huduma za Usajili wa Leseni za Biashara

A. Mahitaji Muhimu wakati kupata Leseni mpya ya Biashara.

1.      Fomu ya Maombi (Inapatikana Ofisi ya Biashara Wilaya)

2.      Jina la/Majina ya Baishara (yataonekana kwenye leseni yako).


3.      Kama ni kampuni aje na nakala ya cheti ya usajili wa BRELA (Certificate of Registration)


4. Nakala ya cheti cha namba ya utambulisho wa mlipa kodi toka Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA (TIN NUMBER).

5.      Cheti Orijino cha kuonyesha hudaiwi kodi (Tax Clearance Certificate) kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

6.      Ada ya Maombi Tsh.1, 000/-

7.      Ada za leseni kwa Mwaka (zinatofautina kulingana na aina ya baishara)

Kwa usajili wa biashara za zilizopo chini ya Mamlaka nyingine Mfano Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), biashara hizo ni kama vile Maduaka ya Dawa za Binadamu, Vinywaji laini, Maduka ya Pembejeo za Kilimo na Mifugo pamoja na maduka ya vyakula mnatakiwa kuwasilisha nyaraka zifuatavyo:-

(a). Cheti cha Cha Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) au Mamlaka nyingine

(b)     Cheti cha Vipimo vya Afya

(c)     Pamoja na viambatanishi vingine vilivyotajwa hapo juu.

B. Kwa wafanyabiashara ambao leseni zimeisha muda wake/wanaohuisha (renew), wanatakiwa kuja na:-

1. Nakala ya leseni ya zamani (Iliyoisha muda wake)

2. Cheti orijina cha kuonyesha hudaiwi kodi toka Mamlaka ya Mapato Tanzani-TRA (Tax Clearance Certificate)

Kwa maelezo zaidi wasiliana na Afisa Biashara Wilaya ya Gairo kwa simu namba:

0714 067774

Matangazo ya Kawaida

  • SOMA TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KADA MBALIMBALI May 25, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUZOA TAKA, KUFANYA USAFI NA KUKUSANYA USHURU WA USAFI June 01, 2022
  • Uhuishaji wa Leseni za Biashara June 30, 2021
  • TANGAZO LA KUUZA VIWANJA May 28, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA AJIRI WATUMISHI WAPYA 16,676 ELIMU, AFYA. WAPO 261 WENYE ULEMAVU. NAFASI NYINGINE 736 ZAKOSA WAOMBAJI

    June 26, 2022
  • GAIRO YAFULULIZA KUPATA HATI YA KURIDHISHA MIAKA MINNE (4) UKAGUZI WA HOJA ZA CAG

    June 17, 2022
  • WAZIRI MKUU MAJALIWA ATOA TUZO YA KWA MKOA WA MOROGORO KWA KUTEKELEZA KAMPENI YA UPANDAJI MITI

    June 06, 2022
  • WACHIMBAJI WADOGOWADOGO WA MADINI WATAKIWA KULIPA USHURU, KODI ZA SERIKALI

    May 28, 2022
  • Tazama zote

Video

LIPA KODI KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI YAKO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255232935454

    Simu ya Kiganjani: +255 767498981

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa