• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

FEDHA ZA RAIS SAMIA ZALETA MAGEUZI MAKUBWA GAIRO

Posted on: November 2nd, 2023

Na. Cosmas Mathias Njingo. GAIRO

Novemba 2.2023


Sekta ya Afya Wilayani Gairo imeimarika na kuboresha utoaji wa huduma za Afya kwa Mama na watoto kiasi cha kupunguza vifo kutoka 13 mwaka 2021/2022, vifo 8 Mwaka 2022/2023, kufikia vifo 2 kuanzia Januari hadi Novemba 2023.


Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo, Bi. Sharifa Nabalang'anya wakati akieleza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita yaliyopatikana kupitia fedha za utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo kwa Mwaka wa Fedha 2012/2022 hadi 2023/2024; kwenye Mkutano na Waandishi wa Habari wa Kampeni ya kuelezea Mafanikio ya Serikali kwa kipindi cha miaka 3 ya Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Ukumbi wa mikutano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, uliofanyika Novemba 2.20223.

Alisema mafanikio ya Serikali inyoongozaa na Rais Dakta Samia Suluhu Hassan yanaonekani wazi kwani zaidi ya TSh. Bil 2 zimetumika kwenye ujenzi wa Hospitali ya Wilaya, ujenzi wa zahanati mpya 9 na vituko vya Afya 2.


Kuhusu Sekta ya Elimu Msingi, Bi. Nabalang'anya alisema Halmashauri ilipokea fedha kiasi cha Tsh. 2.8 Bilioni za ujenzi wa Shule mpya mbili za Awali na Msingi, ujenzi wa vyumba vipya  39 vya madasara, umaliziaji wa vyumba 47 vya Madarasa,ujenzi wa Nyumba 5 (2/1) za Walimu na ujenzi wa matundu ya vyoo, ikiwa ni mkakati wa Serikali ya Mhe. Samia ya kuboresha mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji.


Sambamba na hayo pia Mkurugenzi huyo alisema Serikali ya Mama Samia imewasikia na kuwafikia Wananchi wa Gairo kwani kupitia fedha hizo, Halmashauri imekamilisha ujenzi wa Bweni la Wasichana Wenye uhitaji maalum katika Shule ya Msingi Ukwamani.


Mkurugenzi Nabalang'anya alisema Wananchi wa Gairo wanazo sababu za kumshukuru Mhe. Dakta Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha nyingi kwa ajili ya ujenzi wa Shule Mpya 3 za Sekondari na maboresho ya miundombinu mbalimbali katika Shule za zamani, ambapo kiasi cha Tsh 3,800,000,000 zilitolewa kwa ajili ya miradi hiyo ya Elimu Sekondari.


Akizungumza Sekta ya Utawala alisema Serikali Kuu ilipeleka fedha katika Halmashauri hiyo TSh.485,000,000 kwa ajili ya Ujenzi wa Nyumba ya Mkurugenzi, pamoja na TSh za ujenzi wa 4 za Wakuu wa Divisheni.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa