• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MADIWANI WATAKIWA KUSIMAMIA UKUSAJI MAPATO, KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO NA WATENDAJI WA KATA

Posted on: December 8th, 2022

Cosmas Mathias Njingo; 

Gairo, MOROGORO.

Disemba 8.2022.

 Waheshimiwa Madiwani, Wataalam ngazi ya Halmashauri na Watendaji wa Kata na Vijiji, wametakiwa kufanya kazi kwa ushirikiano mkubwa sambamba na kusimamia kikamilifu zoezi la ukusanyaji wa mapato ili kuiwezesha Halmashauri kupata fedha za kujiendesha.

Wahe.Madiwani wakishiriki Kikao cha Baraza la kujadili taarifa za maendeleo  ya Kata kwa kipindi cha Robo ya Kwanza cha Julai Septemba 2022/2023.

Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo, Mhe. Rahel Nyangasi wakati akifungua kikao cha Baraza la Waheshimiwa Madiwani cha kupitia na kujadili taarifa za robo ya Kwanza utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya kwa kipindi cha Julai Septemba 2022/2023, kilichofanyika Disemba 8.2022 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.

“Kamati ya fedha na Baraza la Madiwani tumekuwa tukitoa maagizo mbalimbali kuhusu usimamizi waukusanyaji mapato, lakini bado hali ya makusanyo siyo nzuri. Bado kunamianya ambayo inavujisha mapato, kadhalika bado kuna uzemba katika usimamizi wa kukusanya mapato. Ipo haja ya sisi sote kwa pamoja kushirikiana ili kuhakikisha tunakusanya mapato”. Alisema Mhe. Nyagasi.

Mwenyekiti Nyangasi akasisitiza kuwa; kuna mapungufu mengi katika ukusanyaji wa mapato kwenye chanzo cha stendi ya mabasi, ambapo magari mengi ya abiria hayafuati utartibu wa kupakia abiria ndani ya stendi na badala yake madereva wanapakia abiria nje ya stendi na maeneo mengine yasiyo rasmi.

“Usimamizi wa ukusanyaji wa mapato kwenye stendi yetu ya mabasi unaudhaifu mkubwa

Sana, hatukusanyi ipasavyo kwani kuna mabasi mengi hayaingii ndani ya stendi kupakia abiria; shughuli za kupakia abiria zinafanyika nje ya stendi kinyume na taratibu zetu za ukusanyaji mapato”. Alibainisha Mwenyekiti Nyangasi.

Matangazo ya Kawaida

  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga na Shule za Sekondari za Gairo December 16, 2022
  • SOMA TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KADA MBALIMBALI May 25, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUZOA TAKA, KUFANYA USAFI NA KUKUSANYA USHURU WA USAFI June 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MIKAKATI YA SERIKALI KATIKA KUDHIBITI MAGONJWA YA MILIPUKO

    December 16, 2022
  • KAIRUKI: SIMAMIENI ZOEZI LA UCHUNGUZI WA AWALI WA WATOTO

    December 12, 2022
  • WATOA HUDUMA YA VYAKULA WATAKIWA KUPIMA AFYA KUFIKIA TAREHE 31 DISEMBA 2022.

    December 09, 2022
  • MADIWANI WATAKIWA KUSIMAMIA UKUSAJI MAPATO, KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO NA WATENDAJI WA KATA

    December 08, 2022
  • Tazama zote

Video

VIBE LA MAKARANI WA SENSA GAIRO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA SITA 2022 GAIRO SEKONDARI
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255232935454

    Simu ya Kiganjani: +255 767498981

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa