• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WAZAIRI NAPE “SEKTA YA HABARI IPO KWENYE MIKONO SALAMA”

Posted on: June 23rd, 2024

Na. Cosmas Mathias Njingo, DAR ES SALAAM

Juni 23.2024

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, amewahakikishia wadau wa sekta ya habari kuwa sekta ya habari ipo kwenye mikono salama.

Amesema hayo Jumatano, 19 Juni, 2024 wakati akifunga Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari lililofanyika kwa siku mbili kuanzia tarehe 18 hadi 19 Juni, 2024, kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mhe. Nnauye ameeleza kuwa kongamano hilo limewaunganisha wadau wote wa sekta ya habari na limechangia kwa kiasi kikubwa kuongeza ukuaji wa sekta ya hiyo.
“Wanahabari niwahakikishie kuwa sekta ya habari ipo mikono salama. Tuweke utamaduni wa kujadiliana vitu vitakavyoleta maendeleo katika nchi yetu. Kwa siku mbili tulizokuwa hapa tumejenga misingi bora zaidi, tumepata fursa ya kujadiliana mambo mbalimbali”

Alifafanua kuwa sekta ya habari ni muhimu katika kuleta mageuzi ya kiuchumi, kijamii na hata kisiasa, hivyo wanahabari wakiamua, wanauwezo wa kurahisisha na kuchochea maendeleo ya Taifa kwa kasi zaidi.

Pia Mhe. Nnauye ameishukuru Kamati aliyoiundwa kutathmini hali ya uchumi wa vyombo vya habari ikiongozwa na Bw. Tido Mhando kwa kazi nzuri waliyoifanya na kuahidi kuwa yote yaliyowasilishwa kwenye ripoti yao yatafanyiwa kazi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa