Posted on: June 17th, 2021
Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Siriel Mchembe na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Bi. Agnes Mkandya wameeleza mikakati waliyojiwekea katika kutokomeza mimba za utotoni Wilayani humo.
Wametaja mikakati ...
Posted on: June 16th, 2021
Serikali Wilayani Gairo, imepiga marufuku tabia ya baadhi ya wazazi kuwaficha watoto wenye ulemavu, kwani kwa kufanya hivyo ni kuwanyima haki zao za msingi ikiwepo kukosa elimu kulingana na uhitaji wa...
Posted on: June 14th, 2021
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Martine Shigela amewataka Mkuu wa Wilaya, Waheshimiwa Madiwani na watendaji wa Halmashauri kufanya ziara kwenye vijiji na kata ili kutatua kero za Wananchi badala ya kusu...