• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Aridhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Fedha na Baishara
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano.
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Sheria
      • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977
      • Katiba inayopendekezwa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba

Kupata hati ya Malipo ya mshahara wa Mtumishi

Ili kupata hati ya malipo ya mshahara wako tafadhali fuata maelekezo yafuatayo:

A. Ikiwa ni mara yako ya kwanza kuingia katika mfumo huu unachotakiwa kufanya ni kujisajili katika mfumo wa Hati za Malipo ya Mshahara kwa kubofya neno JISAJILI (Register) ili kukamilisha usajili utatakiwa kuingiza taarifa zifuatazo,

  1. Cheki namba yako.
  2. Majina yako yote matatu yaliyomo katika taarifa zako za mshahara.
  3. Tarehe, mwezi na mwaka wa kuzaliwa
  4. Fungu (Vote code) na Kifungu (sub vote code) la Halmashauri yako.
  5. Akaunti namba yako
  6. Ngazi ya mshahara kama (Salary Scale) TGS, TGTS, TPSW
  7. Daraja la ngazi ya mshahara (Salary Grade) A,B,C,1,2,3....
  8. Kiwango cha mshahara kama (Salary Step) 1,2,3.....
  9. Bofya Jisajili (register)
  10. Utaletewa ujumbe mwingine kuwa cheki namba itakuwa ndio jina lako la kuingia kwenye mfumo na utatakiwa kutengeneza Nywila (Password) kwaajili ya kuingia kwenye mfumo na kujipatia hati ya mshahara.
    B. Kama ulishajisajili utatakiwa kuwa na:
    1. Cheki namba yako
    2. Nywila yako (Password) na baada ya kuingiza taarifa hizo bonyeza ingia (Sign In)
  11.  BOFYA HAPA kisha fuata maelekezo ya kujisajili na kupata hati ya mali

Matangazo ya Kawaida

  • Usafi wa Mazingira kila Jumamosi ya mwisho wa Mwezi June 12, 2019
  • Uhuishaji wa Leseni za Biashara June 13, 2019
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WILAYA YA GAIRO NA UTAJIRI WA MADINI YA DHAHABU

    June 11, 2019
  • HUDUMA ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA GAIRO SASA ZAPATIKANA KATIKA MAJENGO YAKE MAPYA YALIYOPO KATIKA KATA YA GAIRO.

    May 01, 2019
  • UTAFITI WA HALI YA LISHE NCHINI KWA MWAKA 2018

    October 17, 2018
  • Ziara ya Naibu Waziri OR-TAMISEMI kukagua Miradi ya Elimu Gairo

    October 03, 2018
  • Tazama zote

Video

Marufuku kumaliza kesi za mimba nyuma ya pazia
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Kisimani, Kata ya Magoweko.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255

    Simu ya Kiganjani: 0754837650

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa