• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

GAIRO KULIMA TANI 672 ZA ZAO LA TUMBAKU YA KUKAUSHA KWA JUA, MSIMU WA KILIMO 2025/2026.

Posted on: September 14th, 2025

Mratibu wa zao la tumbaku wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo Ndugu.Shigela Shinyanga ametaja kuwepo kwa mkakati wa kuzalisha zaidi ya tani 600 kwa zao la tumbaku katika msimu wa kilimo ujao kwa mwaka 2025/2026 wilaya ya Gairo.

Ameyasema hayo katika kikao cha wadau wa zao hilo cha kujadili kilimo cha tumbaku kwa Msimu wa mwaka 2025/2026 kilichofanyika septemba 12.2025 kwenye ukumbi wa mikutani wa ofisi ya mkuu wa Wilaya.

Shinyanga ambaye pia ni Afisa Kiimo makao makuu ya Halmashauri, amesema kuwa matarajio ya uzalishaji ni makubwa kutokana na kile kilichopatikana katika majaribio kuleta matokeo chanya , ambapo hadi saaa zaidi ya wakulima 300 wamepatiwa Elimu ya zao la tumbaku huku pembejeo za awali kwa msimu ujao wa kilimo zimetolewa sambamba na kalenda itakayowaongoza wakulima na maafisaugani ngazi za kata  kutekeleza shughuli za uzalishaji bila kuwa na kikwazo cha ucheleweshaji kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa yanayosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi.

Kwa upande mwingine, Afisa Kilimo huyo, ametaja kuwepo kwa ushirikiano mkubwa kutoka wa taasisi za fedha ikiwepo Benki kwa utoaji wa  mikopo ya kuwawezesha wakulima wa zao la tumbaku kupata pesa za kuendesha kilimo, uzalishaji na kuongeza kuwataasisi hizo za fedha zinaenddela kutoa elimu kwa wakulima kuhusu upatikanaji wa mkopo kupitia  Amcos zao.

Kwa mujibu wa Mratibu huyo, Halmashauri ya Wilaya ya Gairo inatarajia kufikia wa kulima zaidi ya 500 kutoka kata 14 zinazotarajiwa kulima zao la tumbaku ambapo kila kata itasajili wakulima zaidi ya 40 wa zao hilo.



Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • GAIRO KULIMA TANI 672 ZA ZAO LA TUMBAKU YA KUKAUSHA KWA JUA, MSIMU WA KILIMO 2025/2026.

    September 14, 2025
  • MKWAWA LEAF KUTOA BURE PAKTI 2 ZA MBEGU ZA TUMBAKU KWA HEKTA MOJA KWA WAKULIMA WA ZAO LA TUMBAKU GAIRO.

    September 13, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI KUJADILI TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI A MAENDELEO MWEZI AGOSTI 2025

    September 12, 2025
  • WANAFUNZI 3,907 GAIRO WAFANYA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA

    September 09, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa