• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MKWAWA LEAF KUTOA BURE PAKTI 2 ZA MBEGU ZA TUMBAKU KWA HEKTA MOJA KWA WAKULIMA WA ZAO LA TUMBAKU GAIRO.

Posted on: September 13th, 2025

Mshauri wa uzalishaji wa zao la Tumbaku kutoka Shirika la mkwawa leaf tobacco ndugu .Louis Roussos ametaja kuwapatia wakulima wa zao la tumbaku pakti mbili za mbegu kwa kila hekta moja bila gharama yeyote ili kuchagiza uzalishaji wa zao hilo Wilaya ya Gairo.

Amesema hayo Septemba 12.2025 katika kikao cha Wadau wa zao la tumbaku cha kujadili kilimo cha tumbaku kwa mwaka 2025/2026 Kilichofanyika katika Ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

Ndugu Louis amesema kuwa Mkwawa leaf kwa kushirikiana na Uongozi na wataalam wilaya ya Gairo wamedhamilia kuongeza na kuitambulisha Gairo kupitia uzalishaji wa zao la tumbaku.

Akitoa elimu fupi namna bora ya kuchoma tumbaku hiyo kwa kutumia mvuke wa jua ndugu louis amesema njia hii ya nishati safi ya kukaushia tumbaku ni rafiki kwani Ina punguza gharama kubwa ukilinganisha na ile ya kukausha na moto sambamba na utunzaji wa mazingira.

Wilaya ya Gairo inatarajia kuzalisha tani 672 kwa hekta 560 kwa mwaka 2025/2026 na hivyo kuongeza mapato ya Halmashauri na kuimarisha uchumi kwa mwananchi mmoja mmoja kupitia Sekta ya kilimo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • GAIRO KULIMA TANI 672 ZA ZAO LA TUMBAKU YA KUKAUSHA KWA JUA, MSIMU WA KILIMO 2025/2026.

    September 14, 2025
  • MKWAWA LEAF KUTOA BURE PAKTI 2 ZA MBEGU ZA TUMBAKU KWA HEKTA MOJA KWA WAKULIMA WA ZAO LA TUMBAKU GAIRO.

    September 13, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI KUJADILI TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI A MAENDELEO MWEZI AGOSTI 2025

    September 12, 2025
  • WANAFUNZI 3,907 GAIRO WAFANYA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA

    September 09, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa