• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

AFISA MALIASLI, MISITU TFS WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA UMMA YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

Posted on: April 25th, 2024

NA. COSMAS MATHIAS NJINGO. GAIRO 

APRILI 25. 2024

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2024 Ndg. Godfrey Eliakimu Mnzava amewaagiza Afisa Maliasili na Misitu kupitia  Kitengo cha Maliasili Halmashauri ya Wilaya ya Gairo, pamoja na Wakala wa Huduma na Uhifadhi wa Misitu (TFS) kuendelea kutoa Elimu Kwa Wananchi Wilayani humo kuhusu utunzaji wa Mazingira na kupanda miti kwa wingi.

Ametoa wito huo Aprili 21.2024 wakati wa Mbio za Mwenge wa Uhuru zilipotembelea miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwepo Mradi wa Ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Ng'holingo Kata ya Madege kwa ajili ya kuona ukamilishaji wa Ujenzi wa Zahanati hiyo ilijengwa kwa nguvu za Wananchi na mchango wa Serikali kwa ajili ya umaliziaji

”Nendeni kwa Wananchi mkawaelimishe umuhimu wa kupanda miti na kutunza mazingira. Lakini pia Serikali imeelekeza kila Halmashauri ihakikishe miti 1,500,000 (milioni Moja na laki Tano) inapandwa kwa mwaka”. Alisema Kiongozi huyo.

Mnzava alisema Kaulimbiu ya Mbio za Mwenge 2024 inasisitiza umuhimu wa kuhifadhi mazingira na Jamii kushiriki kikamilifu katika zoezi la uchaguzi wa viongozi Serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba 2024. Na kwamba viongozi waapaswa kuweka msisitizo mkubwa kwa Jamii kupanda miti na kushiriki uchaguzi huo.

Miradi mingine iliyofikiwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 ni Mradi wa Upanuzi wa Huduma za Maji Iyogwe-Kinyorisi katika Kijiji cha Iyogwe Kata ya Iyogwe, Mradi wa Sekta Binafsi wa Ujenzi wa Nyumba ya Kulala Wageni J5, Mradi wa Ujenzi wa Vyumba 3 vya madarasa na matundu 3 ya vyoo Shule ya Msingi Lukungu iliyopo Kata ya Ukwamani.

Aidha Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 pia zilizopita na kuona Mradi wa Kitalu Cha Miche ya Miti ya Parachichi ipatayo 15,000 unaosimamiwa na Halmashauri pamoja na kuweka jiwe la Msingi katika Mradi wa Ujenzi wa Nyumba 3 za Wakuu wa Divisheni kitongoji cha Malimbika Kata ya Gairo

Kaulimbiu ya Mbio za Mwenge 2024 ni "Tunza mazingira na shiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu"

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa