• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

ATHARI ZINAZOSABABISHWA NA SUMUKUVU KWA BINADAMU, MIFUGO

Posted on: July 6th, 2022


(Christopher Walles Mussa, Afisa Kilimo na Mratibu wa Mpango wa kudhibiti Sumukuvu Wilaya ya Gairo kupita Mradi wa TANIPAC akielezea madhara ya sumukuvu kwa Binadamu na Mifugo, kwenye kikao cha Wakuu wa Idara na Vitengo kupitia Rasimu ya Shelia Ndigo za Halmashauri za kudhibiti sumukuvu)


Na. Cosmas Mathias Njingo. GAIRO DC

Christopher Walles Mussa, Afisa Kilimo na Mratibu wa Mpango wa kudhibiti Sumukuvu Wilaya ya Gairo kupita Mradi wa TANIPAC ameeleza hayo wakati wa kikao cha Wakuu wa Idara na Vitengo kupitia rasimu ya Sheria ndogo za kudhibiti sumukuvu kilichofanyika Julai 6 katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri.

(Christopher Walles Mussa, Afisa Kilimo na Mratibu wa Mpango wa kudhibiti Sumukuvu Wilaya ya Gairo kupita Mradi wa TANIPAC akielezea madhara ya sumukuvu kwa Binadamu na Mifugo, kwenye kikao cha Wakuu wa Idara na Vitengo kupitia Rasimu ya Sheria Ndigo za Halmashauri za kudhibiti sumukuvu)

"Sumukuvu ina madhara makubwa sana kwa binadamu na mifugo endapo watatumia vyakula vilivyo athiriwa na sumukuvu', Alisema Bwana Walles

Akitaja madhara hayo Mratibu huyo wa kudhibiti sumukuvu alisema ni pamoja na Kansa, kudumaa kiakili na kimwili kwa watoto wadogo na kusababisha vifo.

(Baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo wakijadili Mswaada wa Sheria Ndogo ya Halmashaurii ya Kudhibiti Sumukuvu Wilayani Gairi)

"Vifo ni mojawapo ya madhara yatokanayo na sumukuvu ikiliwa kwa kiwango kingi, lakini ikiliwa kwa kiwango kidogo kidogo, mlaji anawenza kupata Kansa, na watoto wadogo kudumaa kimwili na kiakili". Alifafanua Bwana Walles.


Alibainisha kuwa binadamu anaweza kupata athari kutokana na kunywa maziwa, kula Maini na figo au vyakula vya nafaka aina ya mahindi na karanga.

Alisema maziwa, maini na figo huathiriwa na sumukuvu endapo mifugo itakula mazao yaliyo athiriwa na sumu inayotokana na kuvu.

(Baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo wakijadili Mswaada wa Sheria Ndogo ya Halmashaurii ya Kudhibiti Sumukuvu Wilayani Gairi)

Aidha alieleza kuwa sumukuvu ni aina sumu inayotokana na ukungu (fangasi) wa mimea na mazao inapatikana kutokana na mfumo mbovu wa ukaushaji, uhifadhi na usafirishaji wa mazao.

Hata hivyo ameitaka jamii ya wafugaji na wakulima kuepuka kulisha mifugo yao mazao yenye viashiria vya kuvu ili kuzuia madhara ya sumukuvu kwa binadamu na mifugo pamoja na kuto safirisha, kausha au kuanika mazao kwa njia zisizo kubalika

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa