• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

CHANGAMOTO ZA AKINA MAMA WADOGO ZAPATA SULUHU KUPITIA SHIRIKA LA CRESD

Posted on: January 18th, 2023

Na. Cosmas Njingo, GAIRO

JANUARI 18.2023

Shirika la Maendelo lisilo la Kiserikali CRESD kupitia mradi wa kuwezesha AKINA MAMA WADOGO, limejikita katika kusaidia upatikani wa mitaji rahisi ili kuamsha upya ndoto za mabinti chini ya umri wa miaka 18, waliopata ujauzito na kujifungua, hali iliwasababisha kukatisha masomo na kushindwa kufikia ndoto zao.
Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Jackson Mahenge amesema CRESD inalenga kuibua miradi ya kusaidia vikundi vya Wamam Wadogo kujikita katika shughuli za uzalishaji na kiuchumi ili waweze kukidhi mahitaji yao ya kila siku sambamba na kuhudumia watoto wao.
Kwa kuanzia CRESD imepiga kambi Wilayani Gairo ikiwa ni mkakati wa kutekeleza malengo yake kwa vitendo, ambapo inatarajia kuwafiki Wamama Wadogo wapatao 80 kuwasaidia kupata mitaji na vifaa kwa ajili ya mradi wa ufugaji kuku kupitia vikundi.
Naye Meneja wa Mradi huo Wilayani Gairo Bi.Judith Mshigwa, alisema, kupitia shirika hilo la CRESD Wamama Wadogo watajengewa uwezo wa mbinu mbalimbali na elimu ya ufugaji bora wakuku, kuwapa mtaji wa vifaranga 150 kwa kila kikundi pamoja na vifaa muhimu vya kuendeshea mradi huo.
"Tutawapa vifaranga 150 kwa kila kikundi, lakini pia lazima tuwajengee uwezo wapate ujuzi na elimu ya ufugaji bora pamoja na kuwawezesha katika ujenzi wa mabanda bora ya kufugia". Aliseme Meneja huyo.

Februari 17.2023 Shirika la CRESD lilitambulisha na kuzindua rasmi mradi huo Wilayabi Gairo, ambao unalenga kurejesha matumaini mapya na kuongeza chachu ya katika kuwezesha kufikia ndoto za Wamama Wadogo ambao ambao ndoto zao zilikatishwa kutokana na sambabu mbalimbali ikiwepo Ndoa za Utotoni, Mimba zisizo tarajiwa na vitendo vya Unyanyasaji wa Kijinsia vilivyo sababisha kukatisha malengo yao.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa