• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

DC KUBECHA KATIKA ZIARA YA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

Posted on: September 9th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Japhari Kubecha, ameendelea na ziara yake ya kusikiliza kero za wananchi ambapo Septemba 9, 2025 alitembelea Kata ya Idibo. Katika ziara hiyo, alikagua jengo la polisi linalotumiwa kwa muda na Jeshi la Magereza pamoja na mradi wa vyoo katika Shule ya Msingi Idibo. Ameahidi kuwa kufikia mwezi Desemba mwaka huu, kituo cha polisi cha Idibo kitazinduliwa na kuwa kituo cha kwanza cha kata katika wilaya ya Gairo, huku ujenzi wa vyoo shuleni humo ukikamilika ndani ya wiki mbili zijazo.

Aidha, Kubecha aliwasikiliza wananchi wa Idibo na vijiji vyake kuhusu changamoto za maji, umeme, na huduma za afya. Alielekeza Meneja wa Ruwasa kuhakikisha changamoto ya maji inatatuliwa ndani ya wiki moja, huku umeme katika vitongoji vitano ukitarajiwa kukamilika kabla ya mwisho wa mwaka. Kuhusu huduma za afya, alibainisha kuwa Idibo imepangwa kupata kituo cha afya ndani ya mwaka huu wa fedha.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • GAIRO KULIMA TANI 672 ZA ZAO LA TUMBAKU YA KUKAUSHA KWA JUA, MSIMU WA KILIMO 2025/2026.

    September 14, 2025
  • MKWAWA LEAF KUTOA BURE PAKTI 2 ZA MBEGU ZA TUMBAKU KWA HEKTA MOJA KWA WAKULIMA WA ZAO LA TUMBAKU GAIRO.

    September 13, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI KUJADILI TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI A MAENDELEO MWEZI AGOSTI 2025

    September 12, 2025
  • WANAFUNZI 3,907 GAIRO WAFANYA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA

    September 09, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa