• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

FANYENI KAZI KWA BIIDII,KUZINGATIA TARATIBU,SHERIA, KAIMU MKURUGENZI

Posted on: April 17th, 2023

Na Cosmas M. Njingo GAIRO.

April 17

Maafisa Elimu Kata na Wakuu wa shule za sekondari Wilayani Gairo, wametakiwa kufanya kazi kwa bidii, weledi wa hali ya juu, sambamba na kusimamia kwa waaminifu fedha zinazotolewa na Serikali kwa ajili utakelezaji wa shughuli za miradi ya maendeleo.
Rai hiyo imetolewa Aprili 17.2023 na Bi. Msifwaki Haule, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wakati akifungua Mafunzo ya ya siku moja ya Upimaji wa Vishiria Muhimu vya Kiutendaji kwa Viongozi hao, yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri.
"Naomba niwakumbushe kuwa, sasa hivi Serikali inatoa fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Wito wangu kwenu, nendenei mkaisimamie kwa uaminifu miradi hiyo na kuhakikisha matumizi ya fedha yanaendana na uhalisia wa miradi hiyo". Alisema Bi. Haule.

Naye Kaimu Mkuu wa Divisheni ya Utawala na Rasimali watu Bw. Emmanuel Vulli, amawataka viongozi hao kufanya kazi kwa kufuata taratibu, kanuni na sheria za utumishi wa Umma ili kujiepusha kutenda makosa mbalimbali yatakayo sababisha kuchukuliwa hatua ikiwepo kufukuzwa kazi.

Kwa upande wake Kaimu Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu Wilaya ya Gairo, Mwl. Juma Eustace, amewaambia walimu hao kuwa wanatakiwa kuwa mfano bora wa kuigwa kwenye jamii kwa katika kuonyesha nidhamu na uadilifu

Awali kabla ya kuwasilisha mada ya Upimaji wa Viashiria Muhimu vya Utendaji, Mkuu wa Divisheni ya Elimu Sekondari Mwl. Petronilla Wakurila aliwaasa watumishi hao kujiepusha na tabia ya kusambaza barua na nayaraka mbalimbali za Serikali kwenye mitandao ya kijamii hususani makundi ya whatsapp.

"Acheni mara moja tabia ya kutumiana nyaraka za Serikali kwenye Mitandao ya Kijamii. Barua nyingi zinatembea kwenye makundi yenu ya Whatsapp. Hii haikubaliki na nikosa Kisheria". Alionya Mwl. Wakurila

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA MAANDALIZI MAZURI

    February 23, 2025
  • VYAMA VYA SISA VYAHIMIZWA KUHAMASISHA WANACHAMA WAO KUJITOKEZA KUSHIRIKI KATIKA AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI, UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 21, 2025
  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa