• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

GAIRO YAGAWA VITAMBULISHO VYA WAJASIRIAMALI

Posted on: May 25th, 2021

Halmashauri ya Wilaya Gairo imezindua rasmi zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya wajasiliamali, ambapo iimeelezwa zaidi ya wafanya biashara 300 wamejisajiri katika mfumo maalumu wa vitambulisho huku idadi ikitarajiwa kuongezeka zaidi kufikiwa Juni 2021

Mhe. Siriel Shaidi Mchembe, Mkuu wa Wilaya ya Gairo, amezindua zoezi la ugawaji wa vitambulisho hivyo kwa kugawa zaidi ya vitambulish0 200 kwa wafanya biashara wa soko la Msasani ambalo hufanyika jumanne ya kila wiki, huku akiwataka wafanya biashara hao kuvitumia vitambulisho hivyo kwa manufaa ya kujikwamua kiuchumi kupitia biashara ndogo ndogo wanazofanya ili kuiwezesha serikali kuwa na mfumo mzuri wa ukusanyaji mapato.

Amesema vitambulisho hivyo vikitumika vizuri vitawasaidia wajasiliamali hao kupata mikopo inayotolewa na Halmashauri katika mgawanyo wa asilimia 10 ambapo hutolewa kwa wanawake asilimia 4, vijana asilimia 4 na walemavu 2 na kwmaba hiyo itawawezesha kujiongezea mitaji na kukuza biashara zao.

“Vitambulisho hivi vimekamilika kabisa, maana vimebeba taarifa muhimu za mjasiriamali husika, hivyo mvitumie vizuri vitawasaidia katika kupata mikopo itakayo wawezesha kuongeza mitaji na kukuza biashara zenu, lakini pia nia ya serikali yetu ni kuwa na mfumo mzuri, bora na imara wa kukusanya kodi”.

Aidha amewataka wafanya biashara ndogo ndogo maarufu kama wajasiriamali kuhakikisha wote wanakata vitambulisho vya ujasiriamali ili waweze kufanya biashara zao kwa uhuru na amani pasipo kubughudhiwa na mamlaka zinazohusika na utozaji ushuru, ambapo amesema ulipaji wa ushuru kwa kila siku ni gharama kubwa ikilinganishwa na kukata kitambulisho kinacho gharimu shilingi elfu ishirini tu kwa mwaka.

Akizungumza wakati akipokea vitambulisho kwa niaba ya wafanya biashara wengine Makamu Mwenyekiti wa Soko la Msasani Hamiss Hassan, amesema upatikanaji wa vitambulisho hivyo umeondoa kero ya kulipa ushuru wa shilingi elfu mbili kwa siku ambapo amebainisha kwa mwaka inafikia shili laki tano na ishirini elfu, na badala yake vitambulisho hivyo vimeokoa kiasi cha shilingi laki tano kwa malipo ya shilingi elfu ishirini tu kwa mwaka mzima.

@C.M. Njingo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa