• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

HUDUMA YA MAJI KUREJEA UPYA KWA AKAZI WA CHIGELA

Posted on: July 27th, 2023


Huduma ya maji kwa wakazi wa vijiji vya Tabu Hoteli, Ngiloli, na Ibuti katika kata ya Chigela inatarajiwa kurejea kufuatia kukamilika kwa kazi ya kuchimba Kisima kipya cha maji kutokana na hitilafi ya pampu ya kisima cha awali kutumbukia kisimani.

Wakazi hao walikabiliwa na adha ya ukosefu wa maji baada ya kisimi walichokuwa wakikitegemea kupata huduma hiyo pampu yake kuzama kwenye kisima na kusababisha ugumu katika kuitoa. 

tayari sasa Maji yamepatikana kazi inayofuata ni kuunganisha kwenye Mtandao Ili wakazi hao waweze kunufaika


Hii ndiyo maana halisi ya #Kaziiendelee. Hatimaye Wakazi wa Kata ya Chigela wataondokana na adha ya ukosefu wa maji iliyodumu kwa wiki moja kufuatia moja ya pampu katika kisima kilichokuwa kikizalisha maji eneo la ngiloli kupata hitilafu na kutumbukia kisimani, hali iliyosababisha Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kuchimba kisima kingine ili kuwaondolea adha wakazi wa Vijiji vya Tabu Hoteli, Ngiloli, na Ibuti.

Julai 24.2023 Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Jabiri Makame alifika katika eneo hilo kujionea kukamilika kwa kazi ya uchimbaji wa kisima hicho ambapo pia alishuhudia uzalishaji wa maji ambayo yataunganishwa kwenye mtandao wa Bomba la kusafirisha kwenda kwenye tangi tayari kusamabazi maji kwenye vituo na makazi ya watu.

Hongera Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan @samia_suluhu_hassan kwa kazi kubwa ya kuwaletea huduma Wana chigela

(Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Jabiri Omari Makame, akitazama hali ya uzalishaji wa maji baada ya kazi ya kuchimba kisima kipya kukamilika katika kijiji cha Ngiloli kata ya Chigela)

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa