• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

KAMATI YA BUNGE YAHIMIZA WAKULIMA VIJIJI VYA MASENGE, MKOBWE KUPADA MITI

Posted on: February 15th, 2025

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Kilimo na Mifugo, Mhe. Deo Mwanyika (MB), ametoa wito kwa wakulima wa parachichi katika Vijiji vya Masenge, Kata ya Rubeho na Mkobwe, Kata ya Chagongwe, kuhakikisha wanapanda miti na kutunza mazingira. Wito huo umetolewa wakati wa ziara ya Wajumbe wa Kamati hiyo waliokuwa wakijifunza fursa za uwekezaji na kilimo cha mazao ya kimkakati.

Mhe. Mwanyika amesisitiza kuwa utunzaji wa mazingira ni muhimu kwa maendeleo endelevu ya sekta ya kilimo, hasa katika maeneo yanayojihusisha na kilimo cha parachichi na viazi mviringo. Amesema kuwa upandaji miti utasaidia kuhifadhi ardhi, kuboresha hali ya hewa, na kuhakikisha upatikanaji wa maji kwa ajili ya shughuli za kilimo.


Aidha, Kamati hiyo imeipongeza Ofisi ya Mkuu wa Wilaya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kwa jitihada wanazofanya katika kuwekeza kwenye sekta ya kilimo. Mhe. Mwanyika pia amewahakikishia wakulima wa parachichi na viazi mviringo uhakika wa soko la mazao hayo, akibainisha kuwa serikali inaendelea kuweka mikakati madhubuti ya kuimarisha masoko ya mazao ya kilimo.


Ziara hiyo imelenga kuongeza uelewa wa fursa za uwekezaji kwenye kilimo, huku viongozi wakihimiza ushirikiano kati ya wakulima na serikali ili kufanikisha maendeleo ya sekta hiyo.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA MAANDALIZI MAZURI

    February 23, 2025
  • VYAMA VYA SISA VYAHIMIZWA KUHAMASISHA WANACHAMA WAO KUJITOKEZA KUSHIRIKI KATIKA AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI, UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 21, 2025
  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa