• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

KIKAO KILICHOITISHWA NA MKUU WA WILAYA YA GAIRO BI. SIRIEL MCHEMBE KILICHOFANYIKA TAREHE 13/11/2020 KATIKA UKUMBI WA HALAMASHAURI YA WILAYA KWA LENGO LA KUTOA MWELEKEO WA WILAYA BAADA YA UCHAGUZI MKUU

Posted on: November 16th, 2020

Kikao hicho kilihusisha Timu ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, Wakuu wa Taasisi zote zilizopokatika Wilaya ya Gairo, Mkurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri, Maafisa Tarafa wa Tarafa mbili za Wilaya ya Gairo, Watendaji wa Kata zilizopo katika Mamlaka ya Mji Mdogo Gairo na Wenyeviti wa Vitongoji vya Mamlaka ya Mji Mdogo.

Akifungua kikao hicho, Mh. Mkuu wa Wilaya ya Gairo alianza kwa kutoa pongezi kwa kufanya na kumaliza salama uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais uliofanyika tarehe 28/10/2020 na kusisitiza kuwa kazi zinatakiwa kuendelea pia mabadiliko ya awamu ya kwanza ya Mh. Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuingia awamu ya pili na kuasa kwamba lazima mabadiliko yaendane na kasi ya Mh. Rais.

Aliongeza kwa kusema ni lazima kujipanga upya na kuangalia changamoto na mafanikio ya awamu ya kwanza, aidha alisisitiza mambo yafuatayo:-

  • Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi,
  • Kuandaa na kutekeleza mpango kazi wa Wilaya,
  • Kushughulikia kero za Wananchi,
  • Ukusanyaji wa mapato,
  • Utekelezaji wa miradi ya maendeleo,
  • Uuzaji wa vitambulisho vya wajasiliamali wadogowadogo,
  • Uhamasishaji juu ya Bima ya Afya ya Jamii iliyoboreshwa (iCHF),
  • Utolewaji wa mikopo ya Wanawake, Vijana na wenye Ulemavu,
  • Hali ya lishe ya Wilaya na
  • Urudishaji wa asilimia ishirini (20%) za ukusanyaji mapato.

Mwisho aliwakaribisha wenyeviti wa Vitongoji kutoa pongezi, kero, changamoto na mafanikio toka kwa wananchi, na wakuu wa Taasisi na Mkurugenzi walizipokea changamoto na kero na kuahidi kuzifanyia kazi kadri inavyowezekana.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa