• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

KIKUNDI CHA JITAHIDI CHAZALISHA SH.1, 269,000 KWA KUUZA MAHINDI.

Posted on: November 1st, 2022

Na. Cosmas Mathias Njingo.

GAIRO, Morogoro.

Nov. 01.2022

Kikundi cha Wanawake 15, cha wanufaika wa TASAF kitongoji cha Midindo kata ya Mandege kimezalisha kiasi cha Shilingi 1,269,000 (milioni moja laki mbili na elfu sitini na tisa kutokana na biashara ya kuuza mahindi kwa bei ya reja reja.

Wanakikundi wa Kikundi cha JITAHIDI, kitongoji cha Midindo, Kijiji cha Ikwamba, Kata ta Mandege katika picha ya pamoja, walipotembelewa na mwandishi wetu kujionea shughuli za kiuchumi zinazotekelezwa na kikundi hicho (Picha Na. Cosmas Mathias Njingo-GAIRO)

Wajumbe wa kikundi hicho wamesema katika msimu wa ujao wa kilimo wamepanga kulima ekari 4 za zao la mahindi na ekari 2 za zao la maharage ikiwa ni mkakati kabambe wa kukuza pato la kikundi na kuboresha maisha yao.

“Hizi pesa tulizopata tumapanga kulima ekari sita, kati ya hizo 4 za mahindi na 2 za maharage. Hii itatusaidia kukuza pato la kikundi chetu, na kutuwezesha kupata fedha za kujikimu ndani ya familia pamoja na kuimarisha uchumi wa mwanakikundi mmoja mmoja”. Alisema mmoja wa wana kikundi hao.

Moja ya stoo ya kuhifadhia mahindi ya kikundi cha Jitihada (PICHA NA: Cosmas Mathias NJingo)

Kikundi hiki cha Jitahidi kilianzishwa Januari 2.2022 kwa mtaji wa shilingi 200,000 (laki mbili). Kiasi hicho cha fedha kilipatikana kwa njia ya michango ya wanachama na baadaye kikazungushwa kwa njia ya kukopeshana fedha kiasi cha shilingi 10,000 (elfu kumi) huku riba ikiwa shilingi 2,000 hivyo marejesho yote kuwa shilingi 12,000 kwa kila mmoja kwa kila mwezi.

Viongozi wa Kikundi cha Jitahidi katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Ikwamba Bw.Yosia Yolam (mwenye shati la rangi ya orenji) na Afisa Mtendaji wa Kijiji hicho Bw. Kashindye Severine Kassote.

Wakitoa maoni yao kwa Serikali wanakikundi hao wamemuomba Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan, kuongeza jitihada na kiwango cha kuwezesha kiuchumi vikundi vya wanawake wanufaika wa TASAF ili kuwaongezea mitaji ya kuwasaidia kujikwamua na hali ya umskini.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA MAANDALIZI MAZURI

    February 23, 2025
  • VYAMA VYA SISA VYAHIMIZWA KUHAMASISHA WANACHAMA WAO KUJITOKEZA KUSHIRIKI KATIKA AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI, UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 21, 2025
  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa