• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Posted on: March 12th, 2023

Wilaya ya Gairo Mkoa wa Morogoro, imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Kimkoa Machi 8.2023.

Sherehe za Kilele cha maadhimisho hayo zimefanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Gairo 'A' nakuhudhuriwa na wageni mbalimbali wakiongizwa na Wanawake Mkoa wa Morogoro.Mgeni Rasmi Mhe. Fatmwa Mwassa akiwakilishwa na Mkuunwa Wilaya ya Mvomero Mhe. Judith Nguli, amaewaasa wanawake wajasiliamali kuongeza ubunifu katika uzalishaji wa bidhaa mbalimbali ili kutofautiana na wabunifu wengine na kuongeza tija katika ushindani wa soko.

Aidha Mhe. Nguli ameiomba jamii nzima ya wakazi wa Mkoa wa Morogoro kusimama kidete katika kupinga vitendo vya unyanyasaji wa watoto ikiwepo ulawiti, ubakaji na matukio mengine yanayovunja heshima ya mtoto.

Sherehe hizi awali zilitanguliwa na maandamano yaliyoongozwa na Brass Band kuanzia Viwanja vya Stand ya zamani maarufu Stand ya Shabiby Villa Pub hadi Viwanja vya Shule ya MsingiWanawake Mkoani Morogoro wametakiwa kuwa wabunifu wa miradi na bidhaa mbalimbali zenye mvuto wa hali ya juu ili kuleta utofauti na bidhaa za wabunifu wengine.

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mvomelo Mhe. Judith Nguli akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Mwassa wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kilichofanyika Machi 8.2023 Kimkoa katika Wilaya ya Gairo

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • BARAZA LA WAFANYAKAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA GAIRO LARIDHIA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 18, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA VIWANDA, KILIMO NA MIFUGO YAHIMIZA UHARAKISHWAJI WA UJENZI WA BARABARA YA GAIRO-NONGWE

    February 17, 2025
  • KAMATI YA BUNGE YAHIMIZA WAKULIMA VIJIJI VYA MASENGE, MKOBWE KUPADA MITI

    February 15, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa