• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

KUSHINDISHA NJAA WATOTO WA SHULE NI UKATILI

Posted on: August 15th, 2023

Na. Cosmas Mathias Njingo. GAIRO

Agosti 15.2023.Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Gairo Mhe. Raheli Nyangasi, amemwagiza Mkurugenzi wa Mtendaji wa Halmshauri hiyo pamoja Na Wakuu wa Divisheni za Elimu Awali, Msingi na Sekondari kuhakikisha shule zote zinatoa chakula cha mchana kwa Wanafunzi ili kuongeza bidi ya mahudhurio na kuinua ufaulu

Ametoa kauli hiyo Agasti 11.2023 katika hotuba yake ya ufunguzi wa Kikao cha Kawaida cha Baraza la Waheshimiwa Madiwani cha kujadili taarifa za Robo ya Nne kwa kipind cha Aprili Juni 2022/2023 kwenye ukumbi mkubwa wa Mikutano wa Halmashauri.

“Ninakuagiza Mkurugenzi na Wataam wako wa divisheni husika, hili nalo mkalishughulikie. Tunataka kufikia Agosti 30.2023 kila shule iwe imeanza kutoa chakula cha mchana kwa wanafunzi wote’. Aliagiza Mhe. Nyangasi.

Mwenyekiti huyo wa Halmashauri akabinisha kuwa vitendo vya ukatili dhidi ya watoto vipo vya aina nyingi, nakuongezw kwamba hata kutowapatia Wanafunzi chakula cha mchana shuleni ni mojawapo ya vitendo vinavyoashiria ukatili kwao hali ambayo inadumaza ustawi wa maendeleo yao na kuondoka usiku.

“Kitendo cha kuwanyima Wanafunzi chakula cha mchana shuleni ni ukatili dhidi ya Watoto; haiwezekani sisi watu wazima tunalazimisha kupata chakula cha mchana halafu watoto wetu hatuwatilii mkazo na tunataka kuona ufaulu unapanda. Hii haiwezekani”. Alisema.



Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa