• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

LISHE BORA NI MUHIMU KWA JAMII

Posted on: June 8th, 2024

Na Cosmas Mathias Njingo. GAIRO

Juni 6. 2024

Ili jamii iweze kutekeleza majukumu yake kikamilifu na kuwezesha Wanafunzi kupata uelewa mzuri darasani, ni lazima kuwepo na uhakika wa chakula na upatikanaji wa lishe bora kwa kuzingatia makundi yote 5 ya chakula.

Kauli hiyo imeelezwa na Mhe. Rahel Nyangasi, Mwenyekiti wa Halmashuri ya Wilaya ya Gairo, akifungua Kikao cha Kamati ya Lishe Wilaya kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe.Jabiri Makame, kilichofanyika Juni 6. 2024 katika Ukumbi Mkubwa wa Mikutano wa Halmashauri.

“Changamoto zipo, lakini nmi lazima jamii tushirikiane katika kuhakikisha Changamoto hizi tunazitatua kwa pamoja, kuanzia shuleni kwa wanafunzi hadi watu wazima. Kushinda njaa kutwa nzima bila kupata chochote huwezi kuwa na akili timamu”. Alisema Mhe. Nyangasi.

(MKURUGENZI MTANDAJI WA HALMASHAURI BI. SHARIFA NABALANG'ANYA)

Kikao hicho muhimu cha kujadili utekelezaji wa afua za lishe kimewkautanisha wataalam mbalimbali akiwepo Mkurugenzi wa Halmashsauri, Mganga Mkuu Wilaya, Mkuu wa Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji, maafisa Kilimo,Mifugo, Uvuvi na Umwagiliaji pamoja na Maafisa Watendaji wa Kata ambao walisaini Mkataba wa Kutekeleza jukumu hilo baina yao na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri. Wajumbe wengine ni Maafisa Lishe.

Kupitia hotuba yake Mwenyekiti wa Halmashauri amewataka Maafisa Watendaji wa Kata kufanya ufuatiliaji wa karaibu wa kuhakikisha Wazazi wanachangia chakula kwa ajili ya kuwezesha Wanafunzi kupata chakula cha mchana shuleni sambamba na kusimamiautekelzaji wa sharia ndogo ya Halmashauri ya upatikanaji wa chakula na mlo shuleni.

Kwa upande Mwingine Mhe. Nyagasi ametoa wito kwa Mganga Mkuu Wilaya Dkt. Mahela Njile kupitia Meneja wa Bima ya iCHF kufanya hamasa na elimu kwa jamii wafahamu bima hiyo ya Afya inavyofanya kazi ili wahamasike kujiunga.

Alisema ni muhimu jamii kufahamu njia bora za kupata huduma za afya kwa gharama nafuu, hivyo ni wajibu kwa Wataalam wa Divisheni ya Afya na Ustawi wa Jamii kuandaa utaratibu maalum wa kutoa hamasa kwa wananchi kuhusu Bima ya Afya ya Jamii iliyoboreshwa iCHF.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa