• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MADIWANI, MAAFISA WATENDAJI WA KATA KUSHIRIKIANA KUKUSANYA MAPATO, KUSIMAMIA MIRADI

Posted on: May 30th, 2024

Na. Cosmas Mathias Njingo. Gairo

Mei 30. 2024

Wahe.Madiwani wameaswa kuwasimamia na kushirikiana na Maafisa Watendaji wa Kata katika zoezi la ukusanyaji mapato pamoja na kusikia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo iliikamilike kwa wakati na katika ubora uliokusudiwa.

Rai hiyo imetolewa na Mhe. Ramadhani Kimwaga, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri (Diwani Kata ya Chakwale) akifungua Mkutano wa Baraza la Wahe.Madiwani la kupokea na kujadili taarifa za maendeleo ya Kata kwa robo ya III katika kipindi cha Januari-Machi 2023/2024, uliofanyika Ukumbi Mkubwa wa Mikutano wa Halmashauri Mei 23.2024.

"Wahe.Madiwani niwaombe twende tukasimamie ukusanyaji wa mapato kwa kushirikiana bega kwa bega na Watendaje wa Kata. Pia tukahakikishe tunasimamia kwa karibu utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo hasa Ujenzi wa miradi mbalimbali ili ikamilike kwa wakati na katika ubora na viwango vilivyowekwa". Alisema Mhe. Kimwaga.

Diwani huyo akizungumza Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Rachel Nyangasi, ambaye alichelewa kufika kwenye mkutano huoo kwa kazi Maalum, aliwaambia Wahe.Madiwani hao kuwa swala la Ukusanyaji wa mapato na usimamizi wa Miradi ya Maendeleo siyo jambo la Watendaji wa Kata peke yao,bali linamhusu moja kwa moja Diwani wa Kata husika, hivyo ni vyema kushirikiana Kwa pamoja ili kufanikisha malengo ya Serikali ya kuwafikia Wananchi na kuwapa huduma zilizo Bora.

Aidha Makamu Mwenyekiti huyo aliipongeza ofisi ya Mkurugenzi, Timu ya Wataalam wa Halmashauri ambayo inaundwa na Wakuu wa Divisheni na Vitengo, pamoja na Maafisa Watendaji wa Kata, kwa kusimamia na kutekeleza Maazimio ya Wah. Madiwani waliyoyatoa katika Vikao vilivyopita yakiwataka kuweka mikakati madhubuti ya kusimamia makusanyo ya mapato ya Serikali.

Kwa upande mwingine Mhe. Kimwaga aliwasisitiza Viongozi hao kuongeza usimamizi na kuhakikisha mazao ya biashara hayatoroshwi na Wafanyabiashara wasiowaaminifu ambao wamekuwa wakitorosha mazao kwa nia kuiibia Serikli.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa