• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MAKAME: MARUFUKU WATOTO CHINI YA MIAKA 18 KUFANYA KAZI MIGODINI

Posted on: August 4th, 2023

Na. Cosmas Mathias Njingo. MOROGORO

Agosti 4. 2023


Mwenyekiti was Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Gairo Mhe. Jabiri Omari Makame (DC), @jabiri_makame_ amepiga marufuki watoto wenye umri chini ya miaka 18 kushiriki kwenye shughuli za uchimbaji madini kwenye migodo iliyopo Wilayani humo na badala yake Wazazi wawahimize Watoto wao kwenda shule.

Ametoa marufuku hiyo Julai 21 wakati wa ziara yake na Viongozi waandamizi wa Wilaya kujionea shughuli za uchimbaji madini katika migodi mipya iliyoibuliwa hivi karibuni na wachimbaji wadogo wadogo katika maeneo mbalimbali ya Kata ya Leshata.
Makame aliambatana na Katibu Tawala Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri na Kaimu Mkuu wa Jeshi la Polisi Wilaya Afande Mhina Donati naMhe.Diwani wa Kata hiyo

Mh Mchengerwa amesema hayo 4,Agosti 2023 wakati alipotembelea viwanja vya Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki Mkoani Morogoro ambapo pamoja na mambo mengine amepongeza juhudi za Serikali inayoongozwa na Rais Dokta Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa kiwango ambacho haijawahi kutokea hapo awali.

Amesema kuwa Tanzania imejaaliwa maeneo makubwa na yenye rutuba kwa wingi hivyo haipaswi wananchi wake kukosa chakula na kwamba endapo watu wakijikita katika kilimo cha biashara kila familia itakuwa na uwezo wa kupata mazao ya kutosha kwaajili ya biashara na chakula.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa