• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MBUNGE SHABIBY AWATAKA VIJANA KUFANYA KAZI KWA BIDII

Posted on: October 30th, 2023

Mbunge wa Jimbo la Gairo Mhe. Ahmed Shabiby, amewataka wakazi wa Wilaya ya Gairo hususani Vijana, kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo yao wenyewe sambamba na kutumia vizuri fursa za mikopo inayotolewa na Serikali kupitia Halmashauri.


Ametoa Rai hiyo Oktoba 30.2023 alipokuwa akihutubia Wananchi wa Kata ya Kibedya ambapo pia aligawa mitungi ya gesi kwa Kikundi cha Wauza Maziwa pamoja na Mama Lishe ikiwa ni Kampeni ya kuzuia ukataji wa miti kwa ajili ya kupata nishati ya Mkaa na Kuni.

"Vijane fanyeni kazi kwa bidii, maendeleo hayaji kwa kukaa vijiweni kupiga stories au kucheza pool table na kinywa cooker". Aliwaasa.

Kwa upande mwingine Mhe. Sabiby alitoa Kadi za Pikipiki kwa Kikundi cha Vijana Maafisa Usafirishaji wa abiria na mizigo kwa kutumia Pikipiki maarufu 'bodaboda' cha HUWILA baada ya kukamilisha marejesho ya mkopo huo wa pikipiki 10 zilizotolewa na Halmashauri kupitia 10% ya  Mapato ya Ndani kwa ajili ya Vikundi vya Wanawake, Vijana na Wenye Ulemavu.

Mbali na hayo pi Mbunge huyo aligawa mipira kwa timu mbalimbali zilizoshiriki kwenye ligi ya Mbunge na Diwani na kuahidi kuziwezesha timu zote kupata mwalimu Bora atakayezinoa tayari kukabiliana na michuano mbalimbali ya soka ya Ndani na Nje ya Wilaya ya Gairo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa