• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MIRADI YA KIMKAKATI KUTEKELEZWA KWA FEDHA ZA NJE YA BAJETI KWA KUTUMIA WAHISANI

Posted on: May 31st, 2023

Na. Cosmas Mathias Njingo;GAIRO 

Mei 31.2023

Serikali haiwezi kufadhili miradi yote ya mendeleo Nchi nzima kwa kutegemea Fedha za mapato yake ya ndani, hivyo imebuni utaratibu mpya wa kutafuta Fedha nje ya bajeti kwa ajili ya kutekeleza miradi hiyo ya Kimkakati.
Kaimu Tawala Msaidizi anayeshughulikia Mipango na Uratibu Mkoa wa Morogoro Ndg. Anza-amen Ndossa amesema ili kupata Fedha za utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ya Kimkakati nje ya Bajeti Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI imeandaa mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo Maafisa Mipango, Wachumi, Wataalam wa Ujenzi na Maafisa Biashara, Viwanda na Uwekezaji.
Amesema kwa Mkoa wa Morogoro tayari umeanza kutekeleza mpango huo wa kutoa mafunzo elekezi kwa Wataalam hao ili kuwajengea uwezo wa kupata mbinu na njia bora za uandishi wa maandiko ya miradi mbalimbali ya Kimkakati
"Serikali ikaja na njia mbadala kwa ajili ya kutafuta Fedha nje ya bajeti yake ya kawaida. Sasa ili kupata Fedha hizo kuna namna ya kuandika maandiko. Na sisi tumeona ni vyema tukawajengea uwezo Wachumi wetu wa Halmashauri za Mkoa wa Morogoro" alisema Bw. Ndossa.
Kwa Mkoa wa Morogoro mafunzo hayo yanafanyika kwa siku Nne kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo chini na uwezeshaji wa Maafisa kutoka Idara ya Mipango na Uratibu Ofisi ya Rais TAMISEMI

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa