• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MSAJILI VYAMA VYA SIASA AWAFUNDA VIONGOZI WA VYAMA GAIRO

Posted on: September 7th, 2025

Ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa nchini Tanzania imewaagiza vyama vya siasa vilivyothibitisha kushiriki uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kuwasilisha taarifa za gharama za uchaguzi. 

Hii inahusisha gharama za maandalizi, kampeni, na siku ya uchaguzi.

Wito huu umetolewa na Bi. Edna Esey, afisa kutoka Ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa Tanzania bara, akiambatana na Bi. Ummy Gumbo kutoka ofisi ya Msajili Visiwani Zanzibar.

Bi. Esey ametoa wito huo katika kikao na viongozi wa vyama vya siasa kilichofanyika Septemba 7, 2025, kwenye ukumbi wa mikutano wa halmashauri.

Esey ametaja sababu za kuwasilisha gharama hizo kuwa ni pamoja na:

kuongeza

1.Uwazi na Uwajibikaji: Kuwa na taarifa sahihi za gharama kutasaidia katika kuongeza uwazi na uwajibikaji kwa vyama vya siasa.

2.Mpango wa Fedha: Taarifa hizo zitasaidia pia katika kupanga na kudhibiti matumizi ya fedha wakati wa kampeni, smbamba na kuweka bayana pamato na matumizi ya fedha za chama ikiwepo michango mbalimbali kutoka kwa washirika na wadau wao

3.Sheria na Kanuni: Ni muhimu kwa vyama kufuata sheria na kanuni za uchaguzi zinazohitaji kuwapo kwa ripoti za gharama hizo.

4.Kukuza Demokrasia: Kupitia uwazi wa gharama, demokrasia itaimarishwa na wananchi wataweza kufanya maamuzi bora wakati wa uchaguzi.

Amesema hatua hiyo ni muhimu kuelekea uchaguzi mkuu, ambayo inakumbusha vyama vya siasa wajibu wao wa kutoa taarifa sahihi.





Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SHIRIKA LA MVIWAMORO KUWAINUA KIUCHUMI VIJANA 50 WILAYA YA GAIRO

    September 10, 2025
  • WANAFUNZI 3907 GAIRO WAFANYA MTIHANI WA TAIFA DARASA LA SABA MWAKA 2025

    September 10, 2025
  • MSAJILI VYAMA VYA SIASA AWAFUNDA VIONGOZI WA VYAMA GAIRO

    September 07, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa