• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MWENGE WA UHURU KUTEMBELEA MIRADI YENYE THAMANI YA TSH.1,594,217,370.12 WILAYA YA GURO

Posted on: April 21st, 2024

Aprili 21.2024

Na., Cosmas Njng.o GAIRO

Wilaya ya Gairo imepokea na kuanza rasmi mbio za Mwenge wa Uhuru 2024, mapokezi hayo yamefanyika katika viwanja vya Tabu Hoteli Kata ya Chigela, ukitokea Wilaya ya Mvomrro, ambapo unatarajiwa kukimbizwa katika Tarafa ya Gairo umbali wa Kilometa 176.30 



Mbio za Mwenge wa Uhuru zimekuwa kichocheo kikubwa cha kuimarisha Amani, upendo, Umoja na Mshikamano, pamoja na kuhamasisha na kuharakisha Maendeleo katika Wilaya ya Gairo. Kwa mwaka huu miradi 9 itafikiwa na Mbio za Mwenge Uhuru yenye thamani ya Shilingi 1,594,217,370.12, ikiwepo nguvu za Wananchi shilingi 209,518,293.79, Halmashauri ya Wilaya Shilingi 25,083,310.00, Serikali Kuu Shilingi 759,096,907.00, Wahisani Shilingi 588,733,359.30 na Mfuko wa Jimbo Shilingi 11,785,500.00

Aidha Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 zitafanya shughuli mbalimbali Wilayani Gairo katika Miradi ya maendeleo ikiwepo uwekaji wa Mawe ya Msingi katika miradi 3, Kufungua miradi 2, Kuzindua miradi 2 na Kuona miradi 2. Miradi hiyo ni ya Sekta za Afya, Maji, Kilimo, Malisili na Mazingira, Elimu, Uwezeshaji Wananchi kiuchumi/Maendeleo Jamii, Utawala Bora, Barabara, Huduma za Jamii na Mapambano dhidi ya Rushwa.

Mwenge wa Uhuru ni Chombo kilichoasisiwa na Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwaka 1961 ikiwa ni tunu na ishara ya kuwepo kwa Taifa huru la Tanganyika. Mnamo mwaka 1964 Mwenge wa Uhuru ulianza rasmi Mbio zake, baada ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliounda Nchi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kauli Mbiu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 ni “Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA MAANDALIZI MAZURI

    February 23, 2025
  • VYAMA VYA SISA VYAHIMIZWA KUHAMASISHA WANACHAMA WAO KUJITOKEZA KUSHIRIKI KATIKA AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI, UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 21, 2025
  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa