• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RAIS SAMIA AWAAGIZA WATAALAM WA SHERIA KUTENDA HAKI, KUTOPINDISHA SHERIA

Posted on: November 24th, 2022

Cosmas Mathias Njingo; 

MOROGORO.

November 24th, 2022

"Nendeni mkasimamie haki bila kupindisha sheria ili kuepusha kuumiza wasiostahili na kuwafurahisha wenye pesa zao".

Hayo yamesemwa na Mhe.Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alipokuwa akifungua mkutano wa 27 wa wanasheria wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, uliofanyika Jijini Arusha.

Mhe. Samia alisema kuwa kupindishwa kwa sheria kumesababisha watu wengi kutotendewa haki na kufungwa kwa makosa ambayo siyo yao na wale waliotakiwa kuhukumiwa kuachwa huru.

Aidha, amewataka wanasheria hao kuangalia njia sahihi zitakazosaidia nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuweza kuingia katika ushirikiano zaidi na kuufanya umoja huo kuwa wenye tija na nguvu.

Amesisitiza zaidi, katika kubadilishana uzoefu kwa wanachama ili kujengeana uzoezi utakaosaidia kufanya kazi nzuri hata za nje ya jumuiya hiyo.

Nae, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Geofrey Mizengo Pinda amewataka wanasheria wa Tanzania kujiunga kwa wingi katika chama cha wanasheria wa Afrika Mashariki ili waweze kupata nafasi ya kufahamika na kupata fursa za nje ya nchi zaidi.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amewataka wanasheria hao kutumia fursa hiyo ya Kikao kutembelea mbuga mbalimbali za wanyama ili wajionee wanayama waliopo katika Mbuga za nchi.

Mkutano huo wa wanasheria wa Afrika Mashariki umejumuisha nchi za Tanzania bara na visiwani, Kenya, Rwanda, Burundi, Uganda, DRC Congo na takribani wajumbe zaidi ya 100 wameweza kuhudhuria.

Matangazo ya Kawaida

  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga na Shule za Sekondari za Gairo December 16, 2022
  • SOMA TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KADA MBALIMBALI May 25, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUZOA TAKA, KUFANYA USAFI NA KUKUSANYA USHURU WA USAFI June 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YATAKA UFANISI KATIKA UFUATILIAJI WA MAREJESHO YA MIKOPO YA ASILIMIA 10

    December 07, 2022
  • WAGANGA WAKUU, WAFAMASIA WA HALMASHAURI WAHIMIZWA KUZINGATIA TARATIBU ZA UTOAJI DAWA

    December 06, 2022
  • SHERIA NDOGO YA KUDHIBITI SUMUKUVU KUWABANA WAKULIMA, WAUZAJI, WASAMBAZAJI, WASINDIKAJI WA MAZAO.

    December 05, 2022
  • WANAOISHI NA ULEMAVU, WAASWA KUTOJITENGA NA JAMII INAYOWAZUNGUKA

    December 03, 2022
  • Tazama zote

Video

VIBE LA MAKARANI WA SENSA GAIRO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA SITA 2022 GAIRO SEKONDARI
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255232935454

    Simu ya Kiganjani: +255 767498981

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa