• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

SERIKALI KUNUNUA MAHINDI KWA WAKULIMA KUPITIA WAKALA WA HIFADHI YA CHAKULA (NRFA)

Posted on: July 1st, 2024

Na Cosmas Mathias Njingo. GAIRO

Julai 1. 2024

Siku chache baada ya Serikali kupitai Wizara ya Kilimio na Umwagiliaji kutangaza rasmi utaratibu mpya wa kununua mahindi kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ambao unatarajiwa kuanza Julai 10.2024. Serikali Wilayani Gairo inapenda kuwasisitiza Wananchi na Wakulima kuhifadhi mahindi ili kuyauza kwa bei nzuri mara baada ya utaratibu huo utakapoanza kutekelezwa.

Ikumbukwe kuwa Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Mhe. Jabiri Makame pamoja na Viongozi wengine Waandamizi ngazi ya Wilaya, Chama na Halmashauri, wamekuwa mstari wa mbele kutoa elimu kwa Umma na kuweka Msisitizo kwa Wakulima kutouza Mahindi kwa kupima kwenye madebe au vipimo vilivyo kinyume na Sheria ya Vipimo, na badala yake Mazao yote yapimwe kwa uzito wa kilo kabla ya kuuza au kununua

Elimu hiyo imetolewa wakati wa ziara ya Serikali Nyumbani kwako iliyofanywa na Viongozi hao kwa nyakati tofauti tofauti katika Kata na Vijiji, kwa lengo la kuhamasisha Kilimo cha zao la Parachichi na Tumbaku kibishara, sambamba na kuhimiza Wananchu kuhifadhi chakula ili kusubiri utaratibu wa Serikali wa Kununua Mahindi kupitia NRFA ili kuwaweza wakulima kunufaika na bei.

Aidha Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kwa kushirikiana na Ofisi ya Mbunge Mhe. Ahmed Shabiby zinaendelea na mchakato wa kutenga eneo kwa ajili ya kuweka Kituo cha kununulia mahindi katika Wilaya yetu ya Gairo.  

Hivyo Wananchi wote mnasisitizwa kuendelea kuwa na subira, kuhifadhi mazao yenu na kufuata maelekezo ya Serikali, wakati Viongozi wakiendelea kukamilisha taratibu mbalimbali za kuwezesha upatikanaji wa Kituo cha kuuzia Mahindi, ili kurahisisha shughuli hiyo ifanyike kwa tija kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NRFA)

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa