• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

SH. BILIONI 900 KUBORESHA MIUNDOMBINU SEKTA YA KILIMO

Posted on: August 2nd, 2023

Na cosmas Njingo. MOROGORO

Agosti 2.2023

Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imetenga zaidi ya shilingi bilioni 900 kwa ajili ya uboreshaji wa Sekta ya Kilimo na Miundombinu ya umwagiliaji, Ubora wa mbegu, upatikanaji wa mbolea, upimaji wa Afya ya udongo na kuongeza Matrekta kwaajili ya kuongeza tija katika Kilimo.

Hayo yameelezwa na Waziri Mkuu Mustaafu Mhe. Mizengo Peter Pinda Agosti 1.2023 akifungua Maonesho ya Wakulima na Wafugaji maarufu nanenane kanda ya Mashariki yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Manispaa ya Morogoro.

Alisema, Fedha hizo zitawasaidia Wakulima kulima kilimo chenye tija na kuchangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la Pato la Taifa.

Aidha, Mhe. Pinda pia amezitaka Taasisi za fedha nchini kuendelea kushirikiana na Serikali kwa kutoa mikopo kwa makundi ya Vijana na Wanawake ili kukuza Sekta ya Kilimo nchini.

Kwa upande mwingine Mhe. Pinda amesikitishwa na hali ya udumavu wa watoto chini ya umri wa miaka 5 ambayo kwa kiasi kikubwa husababishwa na ukosefu wa lishe bora kwa Mama pindi anapokua katika hali ya ujauzito na kuongeza kuwa Mkoa wa Morogoro una tatizo la udumavu kwa 30% ambapo hapo awali ilikua 35%.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa