• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

SH.BILIONI 4.574 ZATEKELEZA MIRADI YA MAENDELO 2023/2024

Posted on: July 4th, 2024

NA Cosmas Njingo. GAIRO

Julai 4.2024

Katika mwaka wa fedha ulioisha wa 2023/2024 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo ilipokea na kutumia kiasi cha Shilingi bilioni 4,574, 453,558.57 za utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo sekta za Elimu awali, Msingi na Sekondari pamoja na Afya.

Kwa mujibu wa Mkuruigenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi. Sharifa Nabalang’anya, kati ya fedha hizo, Sh. 1,377,200,000.00 (Bilioni 1.3) ni fedha kutoka Serikali Kuu, Wahisani Sh. 2,857,669,632.75 (Bilioni 2.8), Mfuko wa Manendeleo ya Jimbo Sh. 69,989,000.00 na Sh. 269,594,925.82 fedha kutoka makusanyo ya mapato ya ndani ya Halmashuri.

Miradi itayotekelezwa kwa Fedha za Wahisani kupitia Mradi wa SEQUIP ni pamoja na ukamilishaji wa Mabweni Sh.100,743,437.35 Shule ya Sekondari Iyogwe Chauya Kata ya Italagwe na Umaliziaji wa Bweni Sh. 45,480, 187.67 Shule ya Sekondari Gairo.

Miradi minigine mipya inayotarajiwa kutekelezwa kwa Fedha za SEQUIP ni ujenzi wa Nyumba 2 (2 kwa 1) kila moja katika shule ya Sekondari Iyogwe Chauya na Chigela ambapo zimetengewa jumla ya Sh. 190 milioni, pamoja na ujenzi wa miundombinu kwa ajili ya Wanafunzi wa Kidato cha 5 na 6 Shule Sekondari Chigela Sh. 360, 000,000.00.

Pia Halmashauri inatarajia kutumia sh.528, 998, 424.00 kujenga Shule Mpya ya Sekondari ya Kata ya Gairo, ambapo utekelezaji wa ujenzi wa miundomibu ya shule jhiyo unatarajiwa kuanzan hivi karibuni maara baada ya taratibu zote za kifedha na kihandisi kukamilika. Kwa upande wa mapato ya Ndani, Halmashuri iliweza kupeleka jumla ya sh.134, 797,462.91 za mikopo ya 10% ya Wanawake, Vijana na Wenye Mahitaji Maalum, na zaidi ya sh.100 Milioni zilielekezwa kwenye miradi ya maendeleo ya kijami.

Aidha Bi. Nabalang’anya kwa niaba ya Wananchi wa Halmashauriya Wilaya ya Gairo, amemshukuru Mhe. Dakta Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa mahaba ya dhati aliyoonesha kwa Wanagairo kwa kuwaletea Fedha nyingi za utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwa Mwaka wa Fedha uliopita 2023/2024

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • BARAZA LA WAFANYAKAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA GAIRO LARIDHIA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 18, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA VIWANDA, KILIMO NA MIFUGO YAHIMIZA UHARAKISHWAJI WA UJENZI WA BARABARA YA GAIRO-NONGWE

    February 17, 2025
  • KAMATI YA BUNGE YAHIMIZA WAKULIMA VIJIJI VYA MASENGE, MKOBWE KUPADA MITI

    February 15, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa