• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

SHILINGI MILIONI 23 KUWEZESHA VIJANA WA BODA BODA

Posted on: April 3rd, 2023

Kikundi cha Vijana cha wasafirishaji wa abiria na mizigo marufu bodaboda, cha Halmashauri ya zamani (Shabiby Complex) Wilayani Gairo ni moja ya vikundi vilivyonufaika na mkopo wa 10% unaotolewa na halmashauri ukilenga vikundi vya kiuchumi vya Wanawake (4%), Viajana (4%) na Watu wenye Ulemavu (2%).

(mmoja wa waendesha bodaboda kijiwe cha Halmashauri ya zamani Bi. Hellen akiendesha pikipiki aliyokabishiwa)

Kikundi hiki chenye vijana 8 akiwepo 1 wa kike kimepata jumla ya pikipiki 8 zenye thamani ta zaidi ya sh.23 milioni

(Baadhi ya vijana waendesha bodaboda wa kikundi cha Halmashauri ya zamani)

Mapema machi 28.2023 kikundi hicho kilikabidhiwa rasmi pikipiki hizo baada ya kutumiza mashariti yote muhimu ikiwepo Wanakikundi kuwasilisha leseni zao za kuendeshea pikipi, nakala ya Vitambulisho vya Taifa au Namba za NIDA, vyeti vya kuzaliwa na nyaraka nyingine muhimu zilizohitajika kwa mujibu wa kanuni na sheria za mikopo ya 10%.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kuboresha na kuimarisha mikakati ya kuboresha maisha ya wananchi wake kwa kuhakikisha inatekeleza vyema sera ya uwezeshaji wanachi Kiuchumi kupitia vikundi vya uzalishaji mali na kiuchumi katika ngazi za halmashauri kutokana na 10% ya mapato ya ndani ya Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa