• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

UDANGANYIFU, WIZI WA MITIHANI CHANZO CHA VITENDO VYA RUSHWA, UKOSEFU WA HAKI, MAADILI.

Posted on: February 25th, 2023

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda, amewataka Wamiliki wa Shule Binafsi, shule za Umma, Walimu na Wadau wote wa Elimu Nchini kuacha kutumia shule kuendekeza vitendo vya Wizi na udanganyifu wakati wa mitihani ya Taifa.

Ametoa rai hiyo Februari 20.2023, Jijini Mwanza alipokutana na baadhi ya Wazazi wa Wanafunzi waliofutiwa matokeo ya Mtihani wa Taifa wa kuhitimu Kidato cha nne 2022 kufuatia kubainika kwa vitendo vya udanganyifu wakati wa mitihani hiyo.

“Wazizi wenzangu poleni sana kwa yaliyotokea, nimekuja hapa kwa ajili ya kutoa ufafanunuzi wa mambo yaliyotokea dhidi ya wanafunzi ambao wamekamatwa wakifanya vitendo vya udanganyifu wakati wa mitihani. Naomba ieleweke kwamba udanganyifu na wizi wa mitihani unamadhara makubwa sana katika Nchi yetu” alisema Mhe. Prof. Mkenda.

Alisema kuwa shule zikitumika kuendekeza vitendo vya udanganyifu na wizi wa Mitihani Taifa linapata madhara makubwa matutu ikiwepo ukosefu wa haki, ukosefu wa maadili na ukosefu weledi katika kutekeleza majukumu mbalimbali ya kitaalumu miongoni mwa vijana wanaohitimu masomo yao nabaadae kupata nyadhifa mbalimbali kwenye taasisi za umma na binasi.

“Tunafundishwa misikitini na makanisani kutenda haki na kutokudanya kwani vitendo vya namna hiyo vinasababisha wengine kukosa haki. Mfano anayeonyeshwa Mtihani na ambaye hajaonyeshwa wakati wa uchaguzi tunawanyima haki wale ambao hawajaona mitihani” alieleza Prof. Mkenda.

Alisema kumekuwepo na matukio ya baadhi ya majengo binafsi na umma kuporomoka, madaraja kubomoka na matumizi mabaya ya fedha za Umma kutokana na ukosefu wa maadili katika jamii unaosababishwa na tabia za wizi ambazo vijana wanajifunzia wakiwa shuleni.

“Nchi ya Tanzania inasimamia haki na Maadili lakini inapokuja swala la namna hiyo nchi inazalisha wasomi wasio na uadilifu kwa kuwa walianza kujifunza vitendo vya wizi na ukosefu wa maadili kuanzia shuleni”. Alifafanua.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • BARAZA LA WAFANYAKAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA GAIRO LARIDHIA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 18, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA VIWANDA, KILIMO NA MIFUGO YAHIMIZA UHARAKISHWAJI WA UJENZI WA BARABARA YA GAIRO-NONGWE

    February 17, 2025
  • KAMATI YA BUNGE YAHIMIZA WAKULIMA VIJIJI VYA MASENGE, MKOBWE KUPADA MITI

    February 15, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa