• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

UZALISHAJI HAFIFU WA MAZAO YA BIASHARA, CHAKULA MKOA WA MOROGORO

Posted on: October 4th, 2022

Cosmas Mathias Njingo; 

MOROGORO.

Oktoba 4, 2022.

Pamoja na kuwepo kwa wastani mzuri wa mvua kwa mwaka, mabonde ya maji, ardhi yenye rutuba inayostawisha mazao ya aina mbalimbali mkoani Morogoro, uzalishaji wa mazao ya kilimo bado ni hafifu ikilinganishwa na mikoa mingine.

Uhafifu wa uzalishji wa mazo hayo unaelezwa unachangiwa na kuwepo kwa changamoto mbalimbali ikiwepo ukosefu wa elimu ya matumizi bora ya ardhi, kilimo kisichozingatia kanuni bora za kilimo, migogoro ya wakulima na Wafugani pamoja na ukosefu wa vitendea kazi kwa Maafisa Ugani, hususani usafiri ili kuwafikia Wanachi kwa urahisi na kwa Wakati.

Inaelezwa kuwa uzalishaji wa zao la mahindi ni wastani wa tani 1.5 badala ya tani 6 kwa ekari moja, Mpunga unazalishwa wastani wa tani 2.3 badala ya tani 6 kwa ekari moja,viazi tani 2.6 bada;a ya tani 20, wakati uzalishji wa zao la ndizi ni wastani wa tani 4.4 badala ya tani 35.5 kwa ekari moja.

Sababu nyingine zinazotajwa kuchangia uzalishaji hafifu ni pamoja na matumizi ya mbegu za kienyeji, kilimo cha kutegemea mvua, matumiz ya mbolea isiyo sahihi au kutotumia kabisa mbolea, kutokujua hali ya udongo na aina ya mazai unaostawisha.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa