• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

SHIRIKA LA MVIWAMORO KUWAINUA KIUCHUMI VIJANA 50 WILAYA YA GAIRO

Posted on: September 10th, 2025

GAIRO, 

Shirika la Mviwamoro  linatokeleza mradi  wa SET limetoa mafunzo kwa vijana 50 wa Wilaya ya Gairo.mafunzo hayo yamehusisha nadharia na vitendo katika mapishi ya vyakula mbali mbali ili kuwawezesha kuwa wa jasiriamali watakaojikwamua kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja 

 

Aidha baada ya mafunzo hayo vijana hao wamepatiwa vifaa vya kuanza ujasiriamali wa kupika chakula kwa kupewa vitendea kazi kama meza,viti,vyombo,friji,mafuta,sukari,mmafuta kama vianzio katika kuanza kutekeleza biashara hizo sambamba na kulipiwa kodi katika maeneo ya kufanyia ujasiliamali huo wa kupika chakula.

Katika mafunzo hayo vijana hao wamepata elimu namna ya kuweza kusajili vikundi vyao na pamoja na kujiwekea akiba kwa kuwa na vikoba ambapo vikundi viwili vimetengenezwa na wame patiwa elimu namna ya kuweka akiba zao  pamoja na vifaa kama sanduku,vitabu na leja ya vikundi.


 

Vijana walio nufaika 50, wameunda vikundi 8 vyenye idadi ya watu wa 5 pamoja na wajasiriamali wasionavikundi 7

Mradi huu umelenga kumuinua kijana kiuchumi na kumfanya kijana mmoja mmoja kuweza kujitegemea na kuendesha maisha yake. 

 

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SHIRIKA LA MVIWAMORO KUWAINUA KIUCHUMI VIJANA 50 WILAYA YA GAIRO

    September 10, 2025
  • WANAFUNZI 3907 GAIRO WAFANYA MTIHANI WA TAIFA DARASA LA SABA MWAKA 2025

    September 10, 2025
  • MSAJILI VYAMA VYA SIASA AWAFUNDA VIONGOZI WA VYAMA GAIRO

    September 07, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa