• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

VIONGOZI WATOE ELIMU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Posted on: May 29th, 2024

Na. Cosmas Njingo. GAIRO

Mei 29/2024.

Rai imetolewa kwa viongozi Wilayani Gairo kushirikikwenye mchakato mzima wa uboreshaji wa daftari la kudumu la Wapiga kura sambamba na kutoa elimu kwa Umma kuhusu uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika kati ya mwezi Oktoba na Novemba mwaka huu.

Rai hiyo imetolewa Mei 25.2024 na Mhe. Jabiri makame Mkuu wa Wilaya ya Gairo alipokuwa akizingumza na Viongozi ngazi za Kata wakati wa kikao cha Baraza la Wazi la taarifa za Januari-Machi 2023/2024, uliofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri.

“Tunaelekea kwenye mchakato wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura, wajibu wetu Viongozi ni kutoa ushirikiano wakati wa utekelezaji wa zoezi hili, lakini pia  twendeni tukatoe elimu kwa Wananchi wetu kuhusu uchaguzi wa Serikali za mitaa ambao mwaka huu tutatekeleza shughuli hiyo”. Mkuu wa Wilaya aliweaambia viongozi hao

Makame alisema pamoja na kutoa elimu kwa umma pia viongozi hao wanahimizwa kuhamasishana kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi huo kwani kila mmoja anayo haki kikatiba ya kuchagua au kuchaguliwa kuwa kiongozi.

Aidha Mhe. Makame akaonya kuwa uchaguzi ni miongoni mwa mambo matano yanayowakilisha taswira ya Nchi, na kwamba hayapaswi kufanyiwa masikhara na mtu yoyote. Kwani yeyote atakaye leta masikhara au kuonesha nia ovu ya kuhujumu zoezi la uchaguzi atakuwa amejitumbukiza kwenye mkondo wa sheria yeye mwenyewe.

“Uchaguzi ni miongoni mwa mambo matano ambayo hatupaswi kuyafanyia masikhara kwa namna yoyote ile au kuchezea kwa namna yoyote ile. Haitakiwi kucheza na Uchaguzi Mkuu, ni jambo nyeti sana”. Alitaja

Menginge alitaja kuwa ni pamoja namitihani yote ya kitaifa, kuanzia darasa la nne, Darasa la saba kwa Shule za Msingi, Kidato cha pili na Nne kwa shule za Sekondari, Mwenge wa Uhuru na ziara za Viongozi wakuu wa Kitaita  Unaposikia  mitihani ya Kitaifa, ni jambo nyeti sana .

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa