• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WAHESHIMIWA MADIWANI, WATENDAJI WA HALMASHAURI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA UMOJA, USHIRKIANO.

Posted on: August 17th, 2023

Na.Cosmas Mathias Njingo, GAIRO

 Agosti 17.2023

Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Jabiri Omari Makame amewaasa Wahe. Madiwani, Wakuu wa Divisheni na Vitengo, Wataalam pamoja na watendaji wote wa Halmashauri kuimarisha upendo, kushirikiana, kufanya kazi kwa umoja huku kila mmoja akitambua nafasi yake katika kuwahudumia Wananchi kwani kwa kuunganisha umoja huo kunaimarisha nguvu katika kuwaletea maendelo Wananchi.

Makamame ametoa rai hiyo Agosti 11/2023 wakati wa kikao cha kawaida cha Baraza la Wahe. Madiwani kujadil taarifa za Robo ya Nne kwa kipindi cha Aprili Juni 2022/2023 kilichofanyika katika Ukumbi Mkubwa wa Mikutano wa Halmashauri.

“Mh. Mwenyekiti rai yangu kwa Waheshimiwa Madiwai wafanya kazi kwa ushirikiano mkubwa na Watendaji wetu wa Kata, lakini pia kuhakikisha wanaimarisha umoja na kutambua vyema wajibu na nafasi ya kila mmoja katika kuwahudumia Wananchi; kwani Umoja wetu ndiyo nguvu yetu na silaya pekee ya kuwaletea Wananchi maendeleo”. Alisema Makame.

Kwa upande mwingine Mhe. Makame alipongeza juhudi za Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dakta Samia Suluhu Hassan; za kuimarisha na kuboresha huduma mbalibali kwa Wanachi wa Gairo, na kwamba mapinduzi ya kimaendeleo yanakuwa kwa kasi Wilayani humo.

“Naomba tumpigie makofi Rais wetu Dakta Samia Suluhu Hassan, kwa kweli anafanya kazi kubwa ya kutuletea maendeleo sisi wanagairo kwa kasi kubwa. Sisi sote ni mashahidi tumepokea fedha nyingi sana za utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2022/2023 na mwaka huu mpya pia zimeingia fedha nyingine kwa ajili ya kumalizia miradi ilikwama na kuanza miradi mipya’. Alisema Mkuu huyo wa Wilaya.

 Makame alitaja sekta zzilizopokea fedha kwa ajili ya miradi mbalimbali kuwa ni pamoja na Afya, Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari, Kilimo, Mifugo na Uvuvi, sekta ya Barabara kupitia Wakala wa Barabara mjini na Vijijini (TARURA) miradi ya Umeme vijijini (REA) kupitia TANESCO pamoja na uchimbaji wa Visima vya maji na uboreshaji wa miundombinu ya mtandao wa mabomba ya maji ili kuhakikisha Wananchi wa Gairo wananufaika na huduma bora za kijamii.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa