• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WAKAZI WA LESHATA WATAKIWA KUJITOKEZA KUPIMA V.V.U ILI KUTAMBUA HALI YA MAAMBUKIZI

Posted on: December 1st, 2022

Cosmas Mathias Njingo; 

MOROGORO.

Disemba 1.2022.

Diwani wa kata ya Leshata Mhe. Omary Mwende, amatoa rai kwa Wakazi wa Kata ya Leshata na kata nyingine za jirani kujenga utaratibu wa kupima afya zao mara kwa mara, ili kubaini hali ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI, kwani kwa kutambua hali zao kiafya kutawawezesha kujilinda na kuwalinda wengine dhini ya maambukizi hayo.

Mhe Omary Mwende, ametoa rai hiyo Disemba Mosi 2022, wakati wa kilele cha Maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambayo kiwilaya yalifanyika kwenye Kata hiyo ya Leshata na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwepo Mhe. Jabiri Omari Makame Mkuu wa Wilaya ya Gairo, ambayae alikuwa Mgeni Rasmi katika maadhimisho hayo.

Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Jabir Omari Makame (kulia), akiteta jambo na Mratibu wa  UKIMWI (W) Mohamed Amri 

“Leshata kwa sasa ni sehemu ya eneo lenye muingiliano mkubwa wa watu katika Wilaya ya Gairo, kutokana na shughuli mbalimbali za kiuchumi ikiwepo uchimbaji wa madini. Watu wengi wamekusanyika hapa kujitafutia ridhiki kutoka maeneo mbalimbali ya Nchi yetu ya Tanzania. Rai yangu kwa Wananchi wenzangu wa kata ya Leshata na kata za jirani, tujitokeze kupima afya zetu ili tutambue hali ya maambukiz ya Virusi vya UKIMWI. Hii itatuwezesha kujilinda na kuwalinda wengine”. Alisema Mhe Mwende

Kawa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Makame alisema makakati wa serikali ni kufikia kiwango cha maambuikizi sifuri kufikia mwaka 2023, pasiwepo na mamabukizi mapya ya vizuri vya UKIMWI.

Mhe. Jabiri Omari Makame,Mkuu wa Wilaya ya Gairo

“Mpango wetu Serikali, ifikapo 2023 tunataka tufikie asilimia 95, 95, 95. Hii inamaanisha shabaha yetu ni kukomesha matukio ya unyanyapaa dhidi ya wanaoishi na maambukizi ya V.V.U kwa asilimia 95, tunalenga kuhakikisha kiwango cha unyanyapaa kifikie sifuri. Kusiwepo na Mtu hata mmoja kunyanyapaa mwingine au Mtu anayeishi na V.V.U kujinyanyapaa mwenyewe”. Alisema Mhe. Makame

Makame akataja mikakati mingine ni kupunguza vifo vinavyotokana na V.V.U kwa asilimi 95, sambamba na kupunguza maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI kwa asilimia 95. N akwamba lengo ikiwa ni kupata asilimi ‘0’ ya hali ya unyanyapaa, maambukizi mapya ya V.V.U na vifo vitokanavyo na ugonjwa huo ifikapo 2030.

“Ili kuyafikia malengo hayo ndugu zangu, tunahitaji jitihada za pamoja kwa kushirikiana kati ya Serikali, Asasi za kiraia zinazojihusisha na mapambano dhidi ya V.V.U UKIMWI sambamba na Wadau wengine na mtu mmoja mmoja”. Alisema Mhe. Makame.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa