• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WAKUU WA WILAYA MKOA WA MROGOGO WAAGIZWA KUZINGATIA MIPAKA YAO YA KAZI

Posted on: September 29th, 2022

Na. Cosmas Mathiasn Njingo

Morogoro

Septemba 29.2022

 

Mkuu wa Mkoa wa Morogor Mhe. Fatma Abubakari Mwassa

Wakuu wa Wilaya za Mkoa wa  Morogoro, wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia kanuni, taratibu na sheria sambamba na kujali mipaka yao ya kiutendaji ili kuepuka kuingilia majukumu ya watumishi wa Umma waliopo chini yao, pamoja na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi.

Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Jabir Omari Makame (mwenyemiwani miwani) akifuatilia kongamano la wadau wa kilimo mkoa wa Morogoro

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Abubakar Mwassa, ametoa rai hiyo wakati akifungua kikao cha Wadau wa Kilimo Mkoa wa Morogoro kilichofanyika Septemba 28.2022 katika ukumbi wa Morena Hotel iliyopo Manispaa ya Morogoro.

“Sasa inawezekana kuna mambo tunaingiliana, hatujui mipaka ya majukumu yetu, hususani Wakuu wa Wilaya wamekuwa wakifanya kazi ambazo siyo zao kwa kuingilia majukumu ya wataalam au watendaji wengine. Hii siyo sawa”. Alisema Mhe. Mwassa.

Baadhi ya washiriki wa Kongamano la Wadau wa Kilimp Mkoa wa Morogoro

Akitolea mfano kwa Waheshimiwa Wakuu wa Wilaya kuingilia majukumu ya wengine Mhe. Mwassa alisema kumekuwepo na tabia ya baadhi ya Wakuu wa Wilaya kushiriki kuitisha vikao vya Chama cha Mapindizi (CCM) na kusimamia taratibu za chaguzi mbalimbali ndani ya Chama, hali ambayo alisema inaweza kuleta migogoro kati yao na baadhi ya viongozi hususani wagombea wa nafasi hizo.

Baadhi ya washiriki wa Kongamano la Wadau wa Kilimp Mkoa wa Morogoro

“Kwenye chama sisi ni waalikwa tu, na Mkuu wa Wilaya hana mamlaka ya kuitisha kikao cha chama, isipokuwa kama kuna jambo la kusaidia watakuomba wenyewe, lakini siyo wewe uitishe kikao cha chama eti unapanga uchaguzi”. Aliwambia

Baadhi ya washiriki wa Kongamano la Wadau wa Kilimp Mkoa wa Morogoro

Akaongeza kuwa kufuatia hali hiyo, baadhi ya Wahe.Wabunge kwenye maadhi ya Wilaya, wamekuwa wakiwalalamikia Wahe. Wakuu wa Wilaya kuwa wanapanga safu za uongozi ndani ya chama kinyume na taratibu za uchanguzi.

Baadhi ya washiriki wa Kongamano la Wadau wa Kilimp Mkoa wa Morogoro.

Matangazo ya Kawaida

  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga na Shule za Sekondari za Gairo December 16, 2022
  • SOMA TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KADA MBALIMBALI May 25, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUZOA TAKA, KUFANYA USAFI NA KUKUSANYA USHURU WA USAFI June 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YATAKA UFANISI KATIKA UFUATILIAJI WA MAREJESHO YA MIKOPO YA ASILIMIA 10

    December 07, 2022
  • WAGANGA WAKUU, WAFAMASIA WA HALMASHAURI WAHIMIZWA KUZINGATIA TARATIBU ZA UTOAJI DAWA

    December 06, 2022
  • SHERIA NDOGO YA KUDHIBITI SUMUKUVU KUWABANA WAKULIMA, WAUZAJI, WASAMBAZAJI, WASINDIKAJI WA MAZAO.

    December 05, 2022
  • WANAOISHI NA ULEMAVU, WAASWA KUTOJITENGA NA JAMII INAYOWAZUNGUKA

    December 03, 2022
  • Tazama zote

Video

VIBE LA MAKARANI WA SENSA GAIRO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA SITA 2022 GAIRO SEKONDARI
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255232935454

    Simu ya Kiganjani: +255 767498981

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa