• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WAKUU WA WILAYA, SEKRETARIETI YA MKOA WA MOROGORO WATAKIWA KUANDAA MPANGO MKAKATI WA KUTEKELEZA MAAZIMIO YA KONGAMANO LA WADAU WA KILIMO

Posted on: September 28th, 2022

Na. Cosmas Mathiasn Njingo

Morogoro

Septemba 28.2022

 

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Abubar Mwassa, amewataka Viongozi wote ngazi ya Mkoa na Wilaya, pamoja na Wadau wa Kilimo walioshiriki kikao kazi, kuhakikisha wanatekeleza kwa vitendo maazimio ya kongamano la wadau wa Kilimo lengo ikiwa na kutatua changamoto mbalimbali zinazoikumba Sekta hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Abubakari Mwassa

Ametoa agizo hilo Septemba 28/2022 wakati akifungua kongamano lililo wakutanisha wadau mbalimbali, wakiwepo wa sekta ya kilimo, Mifugo, Uvivu na umwagiliaji, lililolenga kujadili kwa pamoja changamoto mbalimbali zinazoikumba sekta hiyo na kusababisha uzalishaji wa mazao kupungua.

“Kwa hiyo niwaombe sana, maamuzi tutakayotoka nayo hapa, tukayafanyie kazi, isiwe ni jambo la kuweka kwenye kabrasha, halafu unasahau hapa tulijadiliana nini. Baadae tunarudi kusukumana sukumana katika utekelezaji wa mambo yetu”. Alisisitiza Mhe. Mwassa.

Mkuu huyo wa Mkoa akaongeza kuwa Kikao kazi hicho ni muhimu kwa mustakabali wa kuleta matokeo chanya katika kutatua changamoto mbalimbali zinazo wakumba wakulima na wafugaji na kwamba maamuzi yote yatakayo kubaliwa na washiriki wa kondamano hilo ni lazima yafanyiwe kazi bila kuvutana vutana.

Awali, akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kufungua kikao hicho, Katibu Tawala Mkoa, Dakta. Mussa Ali Mussa, aliwaelekeza Watendaji wate wa Sekretarieti ya Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri zote mkoani humo kuhakiisha wanaandaa mpango mkakati wa kuwaongoza katika kutekeleza maazimio ya yatokanano ya Kikao kazi hicho ili kuwa na muongozo bora wa utekelezaji wa maazimio hayo.

Katibu Tawala Mkoa, Dakta. Mussa Ali Mussa,

 “Ninaomba kila mmoja alichukue hili swali, ili tukitoka hapa tuweze kutekeleza yale ambayo tutakuwa tumekubaliana. Swali lenyewe Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ni ‘Nini Kitafuata’ (WHAT NEXT)? Maana yangu nikwamba tunatakiwa kuwa na mpango mkakati wa kuyatekeleza yatokanayo na kongamano hili”. Alifafanua Dakta. Mussa.

Katibu Tawala Mkoa, Dakta. Mussa Ali Mussa,


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa