• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WAKUU WA WILAYA, SEKRETARIETI YA MKOA WA MOROGORO WATAKIWA KUANDAA MPANGO MKAKATI WA KUTEKELEZA MAAZIMIO YA KONGAMANO LA WADAU WA KILIMO

Posted on: September 28th, 2022

Na. Cosmas Mathiasn Njingo

Morogoro

Septemba 28.2022

 

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Abubar Mwassa, amewataka Viongozi wote ngazi ya Mkoa na Wilaya, pamoja na Wadau wa Kilimo walioshiriki kikao kazi, kuhakikisha wanatekeleza kwa vitendo maazimio ya kongamano la wadau wa Kilimo lengo ikiwa na kutatua changamoto mbalimbali zinazoikumba Sekta hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Abubakari Mwassa

Ametoa agizo hilo Septemba 28/2022 wakati akifungua kongamano lililo wakutanisha wadau mbalimbali, wakiwepo wa sekta ya kilimo, Mifugo, Uvivu na umwagiliaji, lililolenga kujadili kwa pamoja changamoto mbalimbali zinazoikumba sekta hiyo na kusababisha uzalishaji wa mazao kupungua.

“Kwa hiyo niwaombe sana, maamuzi tutakayotoka nayo hapa, tukayafanyie kazi, isiwe ni jambo la kuweka kwenye kabrasha, halafu unasahau hapa tulijadiliana nini. Baadae tunarudi kusukumana sukumana katika utekelezaji wa mambo yetu”. Alisisitiza Mhe. Mwassa.

Mkuu huyo wa Mkoa akaongeza kuwa Kikao kazi hicho ni muhimu kwa mustakabali wa kuleta matokeo chanya katika kutatua changamoto mbalimbali zinazo wakumba wakulima na wafugaji na kwamba maamuzi yote yatakayo kubaliwa na washiriki wa kondamano hilo ni lazima yafanyiwe kazi bila kuvutana vutana.

Awali, akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kufungua kikao hicho, Katibu Tawala Mkoa, Dakta. Mussa Ali Mussa, aliwaelekeza Watendaji wate wa Sekretarieti ya Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri zote mkoani humo kuhakiisha wanaandaa mpango mkakati wa kuwaongoza katika kutekeleza maazimio ya yatokanano ya Kikao kazi hicho ili kuwa na muongozo bora wa utekelezaji wa maazimio hayo.

Katibu Tawala Mkoa, Dakta. Mussa Ali Mussa,

 “Ninaomba kila mmoja alichukue hili swali, ili tukitoka hapa tuweze kutekeleza yale ambayo tutakuwa tumekubaliana. Swali lenyewe Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ni ‘Nini Kitafuata’ (WHAT NEXT)? Maana yangu nikwamba tunatakiwa kuwa na mpango mkakati wa kuyatekeleza yatokanayo na kongamano hili”. Alifafanua Dakta. Mussa.

Katibu Tawala Mkoa, Dakta. Mussa Ali Mussa,


Matangazo ya Kawaida

  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga na Shule za Sekondari za Gairo December 16, 2022
  • SOMA TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KADA MBALIMBALI May 25, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUZOA TAKA, KUFANYA USAFI NA KUKUSANYA USHURU WA USAFI June 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YATAKA UFANISI KATIKA UFUATILIAJI WA MAREJESHO YA MIKOPO YA ASILIMIA 10

    December 07, 2022
  • WAGANGA WAKUU, WAFAMASIA WA HALMASHAURI WAHIMIZWA KUZINGATIA TARATIBU ZA UTOAJI DAWA

    December 06, 2022
  • SHERIA NDOGO YA KUDHIBITI SUMUKUVU KUWABANA WAKULIMA, WAUZAJI, WASAMBAZAJI, WASINDIKAJI WA MAZAO.

    December 05, 2022
  • WANAOISHI NA ULEMAVU, WAASWA KUTOJITENGA NA JAMII INAYOWAZUNGUKA

    December 03, 2022
  • Tazama zote

Video

VIBE LA MAKARANI WA SENSA GAIRO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA SITA 2022 GAIRO SEKONDARI
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255232935454

    Simu ya Kiganjani: +255 767498981

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa